• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Msifanye makosa Uchaguzi Mkuu 2020 - NEC

Imewekwa tarehe: August 7th, 2020

Wanachi wametakiwa kuwachunguza na kuwajua wagombea wa ngazi mbalimbali za uongozi ili wasije kufanya makosa katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani Octoba 2020.

Hayo yamesemwa na Afisa Habari wa Tume ya Uchaguzi Tanzania, Mroki Mroki katika maonesho ya Nanenane kanda ya kati yanayofanyika Mkoani Dodoma.

Mroki amesema kuwa ni vyema Wananchi wakafahamu vitu vingi kuelekea uchaguzi mkuu ikiwa ni pamoja na kuzitambua sifa za wagombea ambao watawaletea maendeleo katika jamii zao na Taifa kwa ujumla, sifa ambazo watazipata pindi watakapo tembelea katika banda la Tume hiyo lililopo kwenye maoneso ya Nanenane Nzuguni Jijini Dodoma.

“Kubwa zaidi ambalo tume ya uchaguzi tumekuja nalo katika maonesho haya ni hamasa hasa kwa wananchi wa Mikoa hii ya Kanda ya kati, wajitokeze kwa wingi siku ya kupiga Kura lakini kabla ya siku hiyo ni vyema wakazifahamu sifa za wagombea ili wasifanye makosa ya kuwachagua viongozi ambao hawatawasaidia, kwa hiyo wakifika hapa tutawapatia vipeperushi ambavyo vinaelezea sifa hizo.” Alisema Mroki.

Aidha amesema mchakato wa kuchukua fomu kwa wagombea wa Urais umekwishaanza na tayari wagombea wa ngazi hiyo wa vyama vinne vya Siasa wameshachukua fomu hizo.

“Agosti tano pazia la kuchukua fomu za ugombea Urais lilifunguliwa na Tume ya Uchaguzi na sasa hivi vyama vinne vimechukua fomu hizo, ambavyo ni Chama cha Wakulima, NRA, DP na Chama cha Mapinduzi.” Aliongeza Mroki.

Maonesho ya Nanenane yanafanyika kitaifa Mkoani Simiyu ambapo Kanda ya kati yanafanyika Mkoani Dodoma katika viwanja vya Nanenane yenye kauli mbiu inayosema “Kwa maendeleo ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Chagua viongozi bora 2020”.

Afisa Habari wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mroki Mroki akionesha moja na nakala zenye taarifa mbalimbali zinazohusu elimu kwa mpiga kura kuelekea Uchaguzi  Mkuu wa 2020.


Wananchi wakipata elimu kuhusu uchaguzi katka banda la Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika maonesha ya Nanenane Nzuguni jijini Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.