• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mtaa wa Chikole washauriwa kujitokeza kupiga kura

Imewekwa tarehe: November 20th, 2024

Na. Faraja Mbise, MSALATO

WANANCHI wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, wametakiwa kutumia haki yao ya msingi na ya kikatiba ya kupiga kura na kuchagua viongozi walio bora na wenye tija kwa maendeleo ya mitaa yao katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 Novemba, 2024.

Hayo, yalisemwa na mkazi wa Mtaa wa Chikole, Glory Kondo, Kata ya Msalato, alipokuwa akifanyiwa mahojiano kuhusu muitikio wa wananchi kujitokeza kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

“Kuna umuhimu wa kuchagua kiongozi kwasababu ni bora ukamchagua kiongozi ambae unaona kwako wewe atakufaa kuongoza vizuri, kuliko kutokupiga kura ina maana kwamba, utakuwa umeburuzwa, unaweza ukachaguliwa kiongozi ambaye ulikuwa haumuhitaji lakini itabidi ukubaliane nae kwasababu haujajiandikisha ili kuchagua kiongozi unayemtaka. Hivyo, ni muhimu kujiandikisha na ukamchagua kiongozi unayemtaka” alisema Kondo.

Akiongolea kuhusu wananchi kujitokeza kupiga kura, alitoa wito kwa wakazi wote waliojiandikisha katika orodha ya wapiga kura kujitokeza siku ya kupiga kura na kuchagua viongozi bora na sio bora viongozi. “Wito wangu kwa waliojiandikisha ninaomba wajitokeze kuja kupiga kura. Niwajibu wao kupiga kura na kumchagua kiongozi bora kuliko bora kiongozi na wasikubali kuchaguliwa kiongozi” alisisitiza Kondo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodaboda, Tawi la Mama lililopo Msalato, Amani Howe, alizungumzia suala la maendeleo ya mitaa kuwa linajengwa na viongozi walio bora wenye kujua wajibu wao katika ngazi ya serikali za mitaa.

Kondo alisema “Ni lazima kuwe na umuhimu wa kuchagua viongozi wa mitaa kwasababu ni kuangalia maendeleo ya mitaa, endapo kama mwenyekiti aliyepita hajafanya vizuri, anaweza kuchaguliwa mwingine kwamba anaweza akabadilisha maendeleo ya mitaa yetu”

Michakato kadha wa kadha imekwisha kupita katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ikiwemo kujiandikisha katika orodha ya wapiga kura, uteuzi wa wagombea wa vyama vya siasa na kukata rufaa kwa wagombea. Sanjari na hayo wananchi watapiga kura kuchagua viongozi wao wa mitaa na wajumbe wa kamati ya mtaa tarehe 27 Novemba, 2024.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.