• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

RC Mtaka aja na vipaumbele kuinua Dodoma

Imewekwa tarehe: July 23rd, 2021

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka amebainisha vipaumbele vinne ambavyo atavisimamia katika mkoa wa Dodoma na kusema kuwa kama watafanikiwa, Jiji la Dodoma litakuwa la kiuchúmi zaidi.

Amevitaja vipaumbele hivyo kuwa ni pamoja na Elimu, migogoro ya Ardhi, kilimo na ufugaji venye tija na huduma bora za sekta ya afya huku akitangaza alizeti kuwa zao la biashara katika mkoa huo.

Akizungumza katika kikao kazi alichokiandaa na kuhudhuriwa na wataalam wote wa Mkoa huo chenye lengo la kuweka mikakati ili kwenda pamoja kama timu katika kutekeleza mambo yanayohusu maendeleo amesema kuwa bila kuwa na lugha moja kama Mkoa kazi ya kuwaletea maendeleo wananchi itakua ngumu. "Ukitaka kufanikiwa nenda na wenzako, nawasihi tuwe na lugha ya pamoja yapo mambo mazuri wenzetu wameyafanya hivyo lazima tuyaendeleze, sisi Dodoma tunautofauti tunabeba haiba ya Makao Makuu ya nchi hivyo ni lazima tuwe na matarajio makubwa," amesema Mtaka.

Vilevile Mtaka ameziagiza Halmashauri zote nane za mkoa wa Dodoma kuwa na ubunifu wa vyanzo vipya vya mapato ambavyo vitauingizia Mkoa fedha za kutosha kuendesha miradi mbalimbali, na kuifanya kuwa ya mfano.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa ameelekeza kila kaya kupanda miti ili kuendeleza kampeni ya kukijanisha Dodoma ikiwa ni pamoja na wale wanaomiliki viwanja kuhakikisha kuwa wanapanda miti katika maeneo yao. "Nisisitize kila mtu awe mstari wa mbele katika kutunza mazingiza, ikiwa ni pamoja na kuacha kukata miti hovyo na badala yake tujikite katika kupanda miti katika maeneo yetu, hii iende sambamba na wenye viwanja ambao bado hawajajenga wapande miti itakusaidia kupata kivuli na hewa safi utakapohamia" alisisitiza Mtaka. 

Mkutano Kazi huo wa siku moja ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Wilaya za Mkoa wa Dodoma wakiwemo Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, Madiwani, Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi, Wabunge, Wakuu wa Idara za Halmashauri,  Wakuu wa taasisi zilizopo mkoani humo, na Vyombo vya Habari, ambapo pia kimehudhuriwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kongwa.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.