• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mtaka, Balozi wa Namibia waweka mikakati

Imewekwa tarehe: June 11th, 2021

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Anthony Mtaka, katikati ya wiki iliyopita amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Namibia hapa nchini Mhe. Lebius Tangeni Tobius ambapo wamekubaliana kushikiana kwneye maeneno ya Sekta ya Mifugo, Elimu na sekta ya binafsi za Tanzania na Namibia ili kukuza masuala ya uwekezaji na biashara.

Mazungumzo hayo yalifanyika ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ambapo Viongozi hao wawili wamekubaliana kushirikiana kwenye eneo la mifugo hususani uongezaji tija ya uzalishaji mifugo (ng’ombe) na uongezaji thamani wa mazao ya mifugo ikiwemo nyama, maziwa na Ngozi kwa kuzingatia uzoefu walioanao Namibia katika sekata ya mifugo na fursa kubwa iliyopo Mkoani Dodoma kwa kuwa na idadi kubwa ya mifugo.

Viongozi hao wawili wamekubalia na kukuza ushirikiano katik a seka t elimu ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Mtaka amemueleza Balozi  Tobius kuwa uboreshaji wa hali ya eLimu ni kipaumbele chake namba moja Mkoani Dodoma na kwamba Dodoma ina fursa kubwa kwa kuwa na Chuo Kikuu cha Dodoma ambacho ni kikubwa Afrika Mashariki, hivyo kwa kushirikiana na Vyuo Vikuu vya Namibia wataanzisha programu za kubadilishana wanafunzi na wataalamu mbalimbali wa vyuo ili kubadilishana uzoefu na utaalamu.

Katika kukuza uwekezaji na biashara, Mhe. Mtaka na Balozi Tobius wamekubaliana kuimarisha mahusiano na mashirikiano kati ya sekta binafsi ya Namibia na Tanzania hususani katika Mkoa wa Dodoma, ambapo wamekubaliana kuandaa kongamano litakalofanyika Mkoani Dodoma likihusisha sekta binafsi za pande hizo mbili na maonesho ya bidhaa zinazozalishwa na pande hizo mbli ili kuona maeneo wanayaoweza kushirikiana kwa pamoja.

Mhe. Mtaka alitumia fursa hiyo ya mazungumzo na Balozi Tobius kumualika kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini Tanzania vyenye sifa za kipekee Duniani kama vile Mlima Kilimanjaro, Hifadhi za Taifa za Seringeti na Ruaha ili kupitia yeye awaalike watalii kutoka Namibia kuja Tanzania.

Katika hatua nyingine viongozi hao wawili wamekubaliana kuanzisha mahusiano ya kindugu ya mikoa miwili ya Omusati nchini Namibia na Dodoma nchini Tanzania kwa kutambua kuwa Mkoa wa Omusati una sifa na historia ya kipekee kwa kuwa ndio Mkoa ambao Chana cha Ukomboazi wa Namibia cha SWAPO kilizaliwa huku Dodoma ikiwa ni Makao Mkuu ya Tanzania, Chama Tawala cha CCM na Serikali imehamishia shughuli zake hapa Dodoma.

Kwa mujibu wa Viongozi hao wawili, mahusiano kati ya Mkoa wa Omusati Namibia na Dodoma Tanzania yanaendeleza ushirikiano wa undugu wa kihistoria uliokuwepo baina ya Tanzania na Namibia tangu enzi za ukombozi wa Nchi za Kusini wa Bara la Afrika ambapo Tanzania ilichangia kwa kiasi kikubwa katika harakati hizo za ukombozi na kuwa viongozi wengi wa harakati za ukombazi wa nchi za Kusini mwa Afrika waliishi na kupata mafunzo hapa nchini Tanzania.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.