• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mtakwimu Mdoya mbabe Mchezo wa Drafti

Imewekwa tarehe: January 29th, 2025

Na. Shahanazi Subeti, DODOMA

Mtakwimu wa Jiji la Dodoma, William Mdoya ameibuka mshindi katika Mchezo wa Drafti baada ya kumfunga Afisa Michezo, Peter Ititi kwa jumla ya mabao 2-1 ambapo mchezo huo ulilazimika kwenda kwenye muda wa ziada baada ya muda wa kawaida kufungana bao 1-1.

Baada ya ushindi huo alisema “nafurahia ushindi kwa sababu ndio kitu nilichokuwa nakitarajia katika bonanza hili, mchezo ulikuwa mzuri, wachezaji wote niliokutana nao walikuwa wazuri na walionesha ushindani ndiyo maana katika mchezo wa fainali tulienda hadi muda wa ziada” alisema Mdoya.

Nae, Mwalimu Stephen Sebastian, ambaye ni mmoja wa washiriki wa mchezo wa Drafti amekiri kushindwa, hii ni kutokana na ubora wa mpinzani wake. “Mpinzani wangu alikuwa ni mzuri na anaonekana ni mzoefu katika kucheza drafti na katika mchezo ninakiri kwamba, kuna kushindwa na kushinda na nakubali mpinzani wangu amenizidi mbinu na ujanja katika mchezo huu” alisema Sebastian.

Kwa upande wake Mwamuzi wa Mchezo wa Drafti, Evance Msilu, ametoa ufafanuzi wa mchezo na kuweza kumpata mshindi katika mashindano hayo. “Mchezo ulikuwa ni wa kishindani zaidi kwasababu fainali ilikuwa ni ya moto, kulikuwa na timu nane kwa kila idara lakini idara nyingine zilishindwa” alisema Msilu.

Mchezo huo umechezwa leo katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma na ulihusisha wafanyakazi wote wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma katika CCD Watumishi Bonanza lililoandaliwa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa ajili ya kuukaribisha Mwaka 2025 likiongozwa na kaulimbiu isemayo ‘Halmashauri ya Jiji la Dodoma 2025 Ushirikiano na Umoja Wetu Ndiyo Nyenzo ya Huduma Bora.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.