• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mtandao wa barabara za changarawe, lami waongezeka- Mchengerwa

Imewekwa tarehe: April 13th, 2024

OR - TAMISEMI

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema hadi kufikia Machi, 2024 urefu wa barabara za changarawe umeongezeka kwa asilimia 17.45 wakati za lami zikiongezeka kwa asilimia nne.

Mchengerwa ameyasema hayo alipokuwa akielezea utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2023/23 wakati wa kuwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi kwa Ofisi ya Rais-TAMISEMI na taasisi zake kwa mwaka 2024/25.

Amesema barabara za changarawe umeongezeka kutoka kilomita 24,493 hadi kilomita 41,107.52 sawa na ongezeko la asilimia 17.45 ya lengo huku urefu wa barabara za vijijini na mijini zilizojengwa kwa kiwango cha lami umeongezeka kutoka kilomita 2,025 hadi kilomita 3,224.12 sawa na ongezeko la asilimia nne ya lengo.

“Ofisi ya Rais-TAMISEMI kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini itaendelea kufanya tafiti kwa kutekeleza kazi za ujenzi wa miundombinu ya barabara kwa kutumia teknolojia mbadala ambapo barabara nne zimeendelea kufanyiwa tafiti ili kupunguza gharama za ujenzi, matengenezo na ukarabati.

Ofisi ya Rais – TAMISEMI kupitia TARURA itaendelea na uboreshaji wa miundombinu ya barabara za vijijini na mijini ili kuwawezesha wananchi kutekeleza shughuli zao za kijamii na kiuchumi ambapo kwa mwaka 2023/24 sekta ya miundombinu ya barabara na usafirishaji iliidhinishiwa Sh bilioni 825.09 kwa ajili ya ujenzi, ukarabati, matengenezo ya barabara na usafirishaji kupitia Mfuko wa Barabara, tozo ya mafuta, Mfuko Mkuu wa Serikali na washirika wa maendeleo.

Amesema hadi Machi, 2024 Sh bilioni 682.60 zimetolewa kwa ajili ya miundombinu ya barabara na usafirishaji, sawa na asilimia 82.73 ya fedha zilizoidhinishwa, ongezeko ambalo limewezesha kujenga barabara za lami kilomita 1,216.65, barabara za changarawe kilomita 17,125.2 na madaraja 2,355.

Mchengerwa amesema kutokana na ongezeko la fedha, kazi zimeongezeka ambapo makandarasi wa ndani wamenufaika na ongezeko hilo la fedha, hivyo wastani wa mikataba 844 ya kazi za barabara imeongezeka na kufikia wastani wa mikataba 1,826

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma atoa pongezi kwa Madiwani

    May 25, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Wananchi Kata ya Madukani washukuru kuboreshwa huduma za Afya, Zahanati ya Chikande

    May 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.