• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mti wangu birthday wangu

Imewekwa tarehe: October 19th, 2024

MITI 780 imepandwa kwenye eneo lenye ukubwa wa ekari Saba (7) wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni ya 'Mti wangu birthday yangu' iliyoasisiwa na Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Kaspar Mmuya na kuzinduliwa Oktoba 18, 2024, ikiwa na lengo la kuifanya Dodoma kuwa ya kijani kwa kupanda miti katika kumbukizi ya siku ya kuzaliwa.

Kampeni hiyo iliyozinduliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule, imefanyika kwenye eneo la Jakaya Kikwete Square ndani ya Chuo kikuu cha Dodoma ambapo imewakutanisha wazaliwa wa mwezi Oktoba kutoka Taasisi mbalimbali, wadau wa Mazingira, wasanii na wanafunzi ambapo miti imepandwa ndani ya eneo hilo.

Akizindua Kampeni hiyo, Mhe. Senyamule amehamasisha siku za kuzaliwa ziwe maalum kwa ajili ya kupanda miti pamoja na kusisitiza Halmashauri na mtu mmoja mmoja kuzingatia agizo la upandaji miti hasa kipindi hiki cha kuelekea msimu wa mvua.

"Kutokana na juhudi za utunzaji Mazingira, mpaka sasa miti Milioni 25 imeshapandwa Mkoani humu. Kupitia Mpango huu, tunakwenda kurasimisha upandaji miti siku ya 'birthday' kwa kila mwezi na kwa maeneo maalum. Nisisitize kila Halmashauri na mtu mmoja mmoja kuanza kuandaa maeneo ya upandaji miti kukamilisha agizo la kupanda miti Milioni 1 na nusu kwa mwaka" Amesema Mhe. Senyamule

Hata hivyo, Bw. Mmuya amehimiza wananchi kupanda miti kwa wingi kadri wawezavyo na ikiwezekana kwa idadi ya miaka wanayotimiza katika mwaka husika kwani kufanya hivyo itakua faida kwa vizazi vijavyo kuepukana na athari za mabadiliko ya tabia nchi.

"Kuna uhusiano mkubwa kati ya wanadamu na Mazingira. Mungu alifanya miti itumie hewa chafu inayotolewa na wanadamu, nao watumie hewa safi inayotolewa na miti. Kampeni hii na nyingine nyingi zitukumbushe wanadamu juu ya uumbaji wa Mungu kwani jambo hili ni la kiibada" Mhe. Shekimweri.

Aidha, Meneja wa benki ya NMB Kanda ya kati ambaye ndiye mdhamini Mkuu wa kampeni hiyo Bi. Janeth Shango, amesema Taasisi yake itaendelea kushirikiana na ofisi ya Mkuu wa Mkoa.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.