• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Muongozo wa utekelezaji wa Bajeti ya Matumizi ya kawaida kuandaliwa

Imewekwa tarehe: October 28th, 2022

KAMATI ya kudumu ya Bunge ya Utawala Bora na Serikali za Mitaa (USEMI) imetoa wito kwa Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kuja na muongozo maalum utakaobainisha utekelezaji wa bajeti ya matumizi ya kawaida ya mapato ya ndani (60%) katika Idara na Vitengo za Halmashauri ili kuleta ulinganifu na usawa wa matumizi ya fedha hizo katika Halmashauri zote nchini.

"Kuna Halmashauri inakusanya mapato Bil. 4 fedha iliyotengwa katika kitengo cha Afya ni Mil. 10 nyingine inakusanya Bil.2 na imetenga zaidi ya Mil. 82 kitengo hichohicho cha Afya, ipo haja ya TAMISEMI kuandaa fomula ya matumizi ya kawaida ili idara zote ziwe na fomula moja", alisema Chaurembo

Hayo yamebainishwa Oktoba 28, 2022 Jijini Dodoma na Mwenyekiti wa Kamati ya USEMI Mhe. Jaffari Chaurembo katika kikao cha kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Bajetiya matumizi ya Kawaida (60%) kwa mwaka 2021/2022 katika Halmashauri za Rungwe, Misenyi, Longido, Kakonko pamoja na Mkinga.

Amesema kuwa kutokuwepo kwa muongozo au fomula kuna athiri utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo, akisisitiza kuwa fomula maalum itarahisisha utekelezaji wa shughuli hizo.

Baada ya kupokea taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya matumizi ya kawaida katika Halmashauri ya Kakonko, Chaurembo ameitaka Halmashauri hiyo kuwa wabunifu na kuiga mfano kutoka kwa Halmashauri nyingine katika kuibua vyanzo vya mapato ili kuondokana na dhana ya kuwa Halmashauri hiyo ni moja ya Halmashauri zinazokusanya mapato madogo nchini.

Kwa upande wake Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki ameihakikishia Kamati hiyo kuwa Ofisi ya Rais-TAMISEMI itaandaa muongozo wa utekelezaji wa Bajeti ya Matumizi ya Kawaida kwa kuzingatia mapendekezo ya kamati, Idadi ya watumishi pamoja na Jeografia ya Halmashauri husika.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.