• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mwenge wapitia miradi ya bilioni 5.2

Imewekwa tarehe: August 5th, 2018

Mwenge wa Uhuru leo Agosti 5, 2018, umeingia na kuanza mbio zake katika Wilaya ya Dodoma ambapo ulikabidhiwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Patrobas Katambi kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Chemba Mhe. Simon Ezekiel Odunga katika eneo la Makutupora, ambapo utapitia miradi yenye thamani ya Shilingi Bilioni 5.2 inayotekelezwa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma, kabla ya kuendelea na mbio hizo katika Wilaya ya Bahi Julai 6, mwaka huu.

Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2018 unakimbizwa na vijana sita wakakamavu wakiongozwa na mkimbiza Mwenge Kitaifa Mhandisi Charles Francis Kabeho.

Baada ya kukabidhiwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mwenge wa Uhuru ulikimbizwa umbali wa kilometa 81, ambapo umepitia miradi saba na umefanya shughuli za kuweka mawe ya msingi, kuzindua na kutembelea miradi hiyo, huku Miradi yote ikikaguliwa kwa umakini na kukubaliwa kuwa imekidhi viwango na thamani ya pesa.

Miradi iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru ni Mradi wa Matofari na ujenzi katika Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Makutupora, Mradi wa ujenzi wa barabara ya Emmaus-African Dream kwa kiwango cha Lami ikiwa na urefu wa kilometa 1.4, Mradi wa Kituo cha Mafuta cha GP 88 kilichopo Kata ya Dodoma Makulu, na mradi wa Karakana ya Ufundi Seremala katika Chuo cha Ufundi Stadi (VETA).

Miradi mingine iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru kwa mwaka huu ni ujenzi wa Maabara Biolojia na Kemia  katika Shule ya Sekondari ya Dodoma,  na upanuzi wa kituo cha Afya Makole.

Wakimbiza Mwenge wa Uhuru wa Kitaifa wakishirikiana na wananchi wa Jiji la Dodoma kukimbiza Mwenge wa Uhuru.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.