• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mwenge wa Uhuru waridhishwa na miradi Wilaya ya Dodoma

Imewekwa tarehe: August 19th, 2022

MIRADI mitano yenye  thamani zaidi ya shilingi bilioni 3.3 imetembelewa ,kuzinduliwa na kuwekewa jiwe la msingi na Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Dodoma.

Hayo yalisemwa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma , Jabir Shekimweri wakati akiongea na wakazi wa Kata ya Chang’ombe  uwanja wa shule ya msingi Chang’ombe kwenye mkesha wa Mwenge wa Uhuru.

Shekimweri alisema “Mwenge wa Uhuru umekimbizwa km 129.5 na kuzungukia miradi mitano ambayo ni mradi wa ujenzi wa shule ya msingi ya mchepuo wa kiingereza iliyopo Mapinduzi East, mradi wa ujenzi wa barabara ya km 1 Kisasa nyumba 300, mradi wa kilimo wa kikundi cha vijana Kiu ya Ufanisi Nanenane, mradi wa ujenzi wa hotel ya Southern Empire na mradi wa kituo cha afya Chang’ombe”.

“Niwaondoe hofu wanachang’ombe, Wilaya ya Dodoma tupo vizuri  Mwenge wa Uhuru umezunguka katika miradi mitano kati ya hiyo miradi  mitatu imewekewa jiwe la msingi  na miradi miwili imezinduliwa changamoto ndogondogo zilizojitokeza tunaahidi kuzirekebisha na ushauri uliotolewa tutaufanyia kazi”.aliongezea Shekimweri

Akizugumza mara baada ya kuzindua miradi na kuweka jiwe la msingi katika miradi kadhaa kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Sahili Geraruma  aliwataka watendaji wa Halmashauri kote nchini kuacha kufanya kazi kwa mazoea kuhakikisha miradi inazingatia thamani ya fedha na kuwa katika ubora.

“Mwenge wa Uhuru umepita kwenye miradi mitano ni mizuri tumeridhishwa nayo. Nitoe rai kwa watendaji  msitengeneze mazingira ya kuonyesha mmetumia pesa vibaya zingatieni taratibu za matumizi ya pesa, taratibu zifuatwe changamoto ndogondogo zilizojitokeza kwenye mradi wa shule ya msingi ya mchepuo wa kiingereza na mradi wa kituo cha afya Chang’ombe mzifanyie kazi”. alisema Geraruma

Geraruma alimalizia kwa kutoa rai kwa wakazi wa wilaya ya Dodoma kushiriki zoezi la sensa ya watu na makazi kujitokeza kuhesabiwa tarehe 23/08/2022  kwa maendeleo ya Taifa zima.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.