• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mwinje aipongeza Serikali ya JPM, utekelezaji ilani ya CCM

Imewekwa tarehe: September 18th, 2019

Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Dodoma mjini ameendelea na ziara yake ya kutembelea miradi ya maendeleo iliyopo ndani ya jiji la Dodoma akiwa ameambatana na wajumbe wa kamati ya siasa pamoja na mwenyeji  wa ziara hizo  Mkuu wa wilaya ya Dodoma mjini Patrobas Katambi.

Ziara hii ni muendelezo wa ziara zinazofanywa na kamati hiyo ya siasa  ya wilaya kwa muda wa siku nne, kwa lengo la kukagua na kuhakikisha ilani ya Chama Cha Mapinduzi inatekelezwa kwa usawa na kwa wakati.

Msafara ulianzia katika kituo cha Afya cha Hombolo ambapo Mganga Mfawidhi Mwanadamizi Dkt. Steve Chikoti alitoa ufafanuzi wa pesa walizopewa na Serikali kiasi cha Shilingi million 500  kwa ajili ya ukarabati wa chumba cha kuhifadhia maiti , ujenzi wa maabara , nyumba ya mtumishi, wodi ya  wanawake na chumba cha upasuaji.

Aidha, Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma iliwaongezea shilingi million 130 ili kukamilisha ujenzi wa njia za kuunganisha majengo (Korido) na kukarabati majengo ya zamani.

Baadae kamati ilikwenda Mtumba eneo la mji wa serikali kwenye mradi wa kitega uchumi cha Jiji na walioneshwa jinsi mradi unavyoanza na mikakati iliyowekwa kukamilisha miradi hio kwa wakati.

Kamati ilitembelea Shule ya Msingi Ilazo ambako huko Mkuu wa shule Mwalimu Martha Henry Risasi alitoa maelezo jinsi mradi wa ujenzi wa shule hio mpya ambayo imetimiza miaka  miwili tu tangu ianzishwe.

Katika ujenzi wa shule hiyo serikali imewekeza zaidi tya million 105 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa na jengo la utawala.

Msafara ulimalizia ziara yake katika shule ya msingi Mnyakongo   ambayo imejengwa kwa lengo la kupunguza adha ya wanafunzi wengi wanaosoma shule ya msingi Nkuhungu hali wakiishi mbali . Ilielezwa kuwa shule hiyo sasa imelemewa na idadi kubwa ya wanafunzi, ina  wanafunzi takribani 3,000 hivyo ujenzi wa shule ya Mnyakongo umeleta manufaa makubwa  kwa wananchi wa  na wanafunzi kwa ujumla.  

Mwenyekiti Mwinje alitoa shukrani kwa watekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi kuanzia mwenyekiti wa Taifa na Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzanzia  Dkt. John  Pombe Magufuri hadi kwa mwenyekiti wa mtaa kwa kutekeleza majukumu ya serikali kwa uangarifu mzuri wa mali  za umma.

Naye Mkuu wa Wilaya Patrobas Katambi alitaadharisha kuwa “kwa watumishi wengine mnapaswa kuwa  wawajibikaji na wachapa kazi kwa umakini wa hari ya juu ili msije kumuangusha Raisi, kwani msipofanya kazi vizuri mimi sitacheka na mtu hata kidogo, kwani mimi kabla sijatumbuliwa wengine wasio wawajibikaji watakuwa pabaya".



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.