• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Naibu Meya Dodoma ahamasisha wadau wa maendeleo kufanya kazi kwa bidii

Imewekwa tarehe: August 20th, 2021

Na. Getruda Shomi na Sifa Stanley, DODOMA

NAIBU Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mhe. Emmanuel Chibago amehamasisha Mashirika binafsi na Serikali kuendelea kufanya kazi kwa bidii na kutoa misaada mbalimbali kwa jamii ikiwemo watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu ili kuweza kukwamua jamii kutoka kwenye umaskini na kujenga uchumi.

Mhe. Chibago ameyasema hayo alipohudhuria mkutano wa kufunga Mradi wa Kizazi Kipya uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Dodoma na kuona namna mradi huo ulivyofanya kazi kwa muda wa miaka mitano.

Naibu Meya huyo amesema kuwa wadau wa maendeleo na Serikali waendelee kuiendeleza miradi ambayo inaanzishwa na Mashirika binafsi. “Naomba tuendeleze mradi, walipotufikisha tuendelee mbele, ikiwemo Halmashauri na wadau wetu, niwaombe tunayoyafanya haya tuyafanye kwa moyo mmoja. Tuendelee kuzifanya kazi hizi ni za kujitolea” amesema Chibago.

Meneja wa Mradi wa Afya ya Mama na Mtoto wa Shirika la World Vision, Daud Gambo aliongeza kuwa wadau, serikali na jamii kwa ujumla waendelee kushirikiana ili kuhakikisha wanaikomboa jamii kutoka kwenye umaskini “tushikane mikono tutaendelea, pamoja tutaenda mbali World Vision itaendelea kufanya kazi, mmejengewa uwezo msimame imara” alisema Gambo.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa mradi wa Kizazi Kipya, Pendo Mwaisese alisema kuwa mradi wa Kizazi Kipya umejikita kwenye vipaumbele vinne. Alivitaja vipaombele hivyo kuwa ni afya, elimu, kuinua vipato vya kaya pamoja na ulinzi na usalama. Mradi huo umewanufaisha vijana waliotoka katika mazingira magumu kwa kuwapatia ujuzi wa kufanya kazi, watoto kutoka kaya maskini wamenufaika kwa kupelekwa shule na kupatiwa mahitaji ya kielimu, alisema.

Akitoa ushuhuda wa namna alivyonufaika na mradi wa kizazi kipya, mnufaika Frank Mlewa alisema kuwa mradi huo umemsaidia kupata ujuzi wa ufundi kwa sababu alipelekwa kusoma ufundi katika chuo cha VETA. “Mradi umenikuta nikiwa mtaani, tulikuwa wengi ulitukusanya ukatuunganisha pamoja ukatupa elimu katika chuo cha ufundi na sasa ni fundi. Naweza kujitegemea na nimepanga kwa sasa najitegemea” alisema Mlewa.

Mradi wa Kizazi Kipya ulianza mwaka 2016 umehudumia jumla ya vijana na watoto 1,472 na unatarajiwa kuisha Septemba 2021 ukisimamiwa na kutekelezwa na mashirika ya Action for Community Care (ACC) na KISEDET ambayo yanapokea fedha kutoka Pact Tanzania.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.