• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Naibu Waziri afurahishwa na uwezeshaji Watanzania kushika kuongoza taasisi za kibiashara

Imewekwa tarehe: January 23rd, 2020

NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde amefurahishwa na mpango wa mafunzo baina ya Taasisi ya Maafisa Watendaji Wakuu (CEOrt) na Chuo cha Biashara cha Strathmore ambayo yanalenga kuwajengea uwezo Watanzania kushika nafasi za juu katika makampuni mbalimbali na taasisi za Biashara hapa nchini na hivyo kutasaidia kuongeza nguvu kazi yenye sifa na ujuzi stahiki katika uongozi wa makampuni.

Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo leo Jijini Dar es salaam wakati akipokea tuzo ya heshima ya KIONGOZI WA UMMA ALIYETOA MCHANGO KWA SEKTA BINAFSI 2019  aliyokabidhiwa na CEOrt kutambua mchango wake katika kuwezesha mafunzo kwa ajili ya Watanzania kushika nafasi za juu za uongozi katika makampuni ijulikanayo kama CEO APPRENTICESHIP PROGRAMME (CAP).

"Miaka mitatu iliyopita nilialikwa na Marehemu Ali Mufuruki aliyekuwa Mwenyekiti wa CEOrt, mkaniambia kuhusu kukosekana kwa Watanzania wenye sifa za kuwa Watendaji Wakuu wa Makampuni. Nikawapa changamoto kwamba mshirikiane na serikali kutatua changamoto hiyo. Leo nina furaha kuliona kundi la kwanza la Vijana 16 wakiwa katika mafunzo ya Uongozi wa juu wa makampuni, lengo letu ni kuwezesha Vijana wengi zaidi kupata ujuzi ili kuongeza wigo wa watanzania wenye sifa za kushika nafasi za juu za uongozi wa Makampuni na Taasisi za Biashara" Alisema Mavunde.

Naye Mwenyekiti wa CEOrt Bw. Sanjay Rughan ameshukuru ushirikiano uliopo baina ya Serikali na sekta binafsi, kueleza kwamba wamejipanga kuhakikisha kundi kubwa la Vijana wa Kitanzania wanapata fursa ya mafunzo ili kuondoa tatizo la ukosefu wa watu wenye sifa za uongozi wa juu katika makampuni hapa nchini.

Akishukuru kwa niaba ya wanufaika wa Programu hii, Bw Unguu Ramadhan Sulay, ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni ya Plasco Ltd, amepongeza wazi la kuja na mafunzo haya ambayo yamewaongezea uelewa mkubwa wa masuala ya Uongozi wa kampuni katika kuwatayarisha kushika nafasi za juu za uongozi na kuahidi kutumia mafunzo hayo vizuri ili kutimiza liliokusudiwa.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.