• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Naibu Waziri Mavunde akutana na wawekezaji Bonde la Mto Rufiji

Imewekwa tarehe: May 20th, 2022

NAIBU WAZIRI  wa Kilimo, Mhe. Anthony Mavunde amekutana na kufanya mazungumzo na wadau wa sekta ya kilimo kutoka kampuni ya Berga & More ambao wanalengo la kuwekeza katika ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji hususani katika bonde la Mto Rufiji.

Ujumbe huo ambao ulionogzswa na Dott.ssa Rita Ricciard ambaye ni moja ya waanzilishi wa Kampuni hiyo, umemueleza Mhe. Mavunde kuwa dhamira yao ya kuwekeza imesukumwa na Tanzania kufungua milango ya uwekezaji kwa wawekezaji wa Kimataifa.

“Tayari tunafanya kazi nchini Uganda na Kenya, hivyo tumeona fursa kuwa iliyopo Tanzania na kututiwa sana kwa lengo la kuleta wawekezaji wakubwa kwenye sekta ya umwagiliaji nchini” aliongeza Bi. Dott.ssa.

Vilevile, Mhe. Mavunde aliwaeleza wawekeazaji hao kuwa, Serikali inayoongozwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imedhamiria kuongeza uwekezaji kwenye umwagiliaji, na sisi kama Wizara yenye dhamana tunawahakikishia kuwa tutafanya yote kwa upande wetu ili kufanikisha uwekezaji huu muhimu.

“Tumejiwekea lengo la kukuza kilimo kwa asilimia 10 ifikapo mwaka 2030, hivyo ni dhahiri kwamba lengo hili hatutaweza kulifikia pasipo kuweka mkazo mkubwa kwenye kuendeleleza miradi ya umwagiliaji, hiki ni kipaumbele chetu namba moja” alibainisha Mhe. Mavunde.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Bw. Raymond Mndolwa alimwahidi Mhe. Mavunde kuwa, anakwenda kuandaa barua inayoonesha orodha ya mabonde ya kimkakati ya umwagiliaji yanayohitaji kuendelezwa na kuyatuma kwa kampuni ya Bergs & More, ili wayapitie na kuona fursa zaidi za uwekezaji nchini.

Pia, kikao hicho kilihudhuriwa na Mhandisi Anna Green Mwangamilo, Mkurugenzi wa Zana za Kilimo na Umwagiliaji Wizara ya Kilimo, pamoja na Bw. Daudi Kaali ambaye ni Mkurugenzi wa Mipango Tume ya Taifa ya Umwagiliaji.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.