• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Naibu Waziri TAMISEMI afurahishwa na miradi ya kimkakati

Imewekwa tarehe: May 6th, 2019

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Josephat Kandege amesema amefurahishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayoendelea katika Jiji la Dodoma.

Kandege ameyasema hayo alipofanya ziara yake katika Miradi mitatu mikubwa ya maendeleo ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika Jiji la Dodoma.

Miradi ambayo imetembelewa na Naibu Waziri huyo ni pamoja na Ujenzi wa Kituo Kikuu cha Mabasi, Kituo kikubwa cha kisasa chenye uwezo wa kuingiza Mabasi 250 na kuhudumia abiria zaidi ya 6,000 kwa wakati mmoja.

Naibu Waziri huyo pia, alitembelea Ujenzi wa Soko la kisasa pamoja na Kituo cha Mapumziko cha Chinangali, ambapo miradi yote hii inatekelezwa na Mkandarasi Mohammedi Builders Limited na inatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi wa tisa mwaka huu.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Josephat Kandege (katikati) akitoa maelekezo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi (Wa pili kushoto) juu ya hatua iliyofikiwa kwenye Ujenzi wa Soko kuu la kisasa.


“Sura ya Tanzania kwa sasa ni Dodoma kwa hiyo tusingependa miradi hii ichelewe kukamilika, tunapenda ikamilike kwa wakati, nitafurahi kama mtafanya hivyo kwa sababu bado Mkandarasi una muda wa kutosha kukamilisha miradi hii” Alisema Mhe. Kandege.

Naibu Waziri Kandege alisema kuwa lengo Kuu la ziara yake hiyo ni kujiridhisha na utekelezaji wa miradi hiyo na kuhakikisha inakamilika kwa wakati.

Hata hivyo, ameridhishwa na namna miradi hiyo inavyotekelezwa kwa uwazi na kumpongeza Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi kwa jinsi anavyosimamia vizuri mapato na matumizi ya fedha za miradi hiyo.

“Serikali imeweka nguvu kubwa katika kuhakikisha miradi mikubwa kama hii inatekelezwa, hivyo nitumie fursa hii kukupongeza Mkurugenzi kwa namna unavyotekeleza na kusimamia miradi hii kwa ukaribu mkubwa” Alisema Mhe. Kandege.

Aidha, akizungumza katika ziara hiyo, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi alimshukuru Mhe. Kandege kwa kufanya ziara hiyo na kumhakikishia kuwa miradi hiyo itakamilika kwa ubora unaotakiwa na kwa wakati.

“Mhe. Naibu Waziri kwanza nikushukuru kwa kututembelea kwa lengo la kuona hatua ambayo tumefikia katika miradi hii, Ofisi yangu imejipanga vizuri katika kufuatilia maendeleo ya miradi hii na kuhakikisha inakamilika kwa wakati” Alisema Kunambi.

Naibu Waziri Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Josephat Kandege (Kushoto) akitoa maelekezo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi pamoja na Mkandarasi, kuhakikisha Ujenzi wa Soko kuu la Kisasa unakamilika kwa wakati.


 

              

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.