• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Nanenane yaacha alama kwa wakulima

Imewekwa tarehe: August 13th, 2020

MAONESHO ya Wakulima ya Nanenane 2020 Kanda ya Kati, yameacha alama nzuri na kubadilisha maisha ya wakazi wa Dodoma na maeneo ya jirani kwa kuwapatia elimu mbalimbali kuhusu Kilimo, Uvuvi na Ufugaji huku wakiipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kuwa mshindi wa kwanza.

Hayo yameelezwa na Wananchi waliokuwa wakitembelea maonesho hayo wakati wakitoa maoni yao baada ya kumalizika kwa Maonesho ya Nanenane ambayo Kitaifa yalifanyika Mkoani Simiyu na kwa Kanda ya Kati yalifanyika Mkoani hapa.

Kwa upande wake Richard Mtuyu Mkazi wa Nzuguni Dodoma amesema kuwa wanamshukuru Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma na timu yake kwani kupitia banda lao la Kilimo limewafanya wamejifunza mambo mengi yanayohusu kilimo cha kisasa kwani kabla ya hapo walikuwa wakilima bila utaratibu jambo ambalo lilikua likiwapatia hasara kwa mazao yao kushambuliwa na magonjwa na hata kupata mazao kidogo.

“Tunaishukuru sana Halmashauri ya Jiji la Dodoma, maonesho haya yamefanyika faida kubwa sana kwetu hasa Wakulima wa Vijijini kwani tulikua tunapata tabu sana, unakuta mtu unalima zao fulani lakini mwisho wa siku unapata hasara kutokana na kutokua na elimu sahihi ya kilimo hicho” alisema Mtuyu.

Nae Elizabeth Mlacha Mkazi wa Kikombo, amezungumzia alivyojifunza namna ya kuandaa bustani za mbogamboga na kusema kuwa amejifunza kanuni za kilimo cha bustani, kitu ambacho kimembadilisha na baada ya elimu hiyo atakua ana andaa Bustani zake kisasa tofauti na ilivyokua awali.

“Mimi napenda sana kilimo cha bustani na nyumbani kwangu nina bustani za mboga, lakini tatizo lilikua ni namna ya kuitunza kitu ambacho kilikua kinapelekea bustani yangu kutostawi ila hapa nimekuta bustani zinapendeza na wamenielekeza namna sahihi ya kuandaa, kupanda na kuitunza bustani yangu kwa kweli nimefaidika sana tunashukuru” alizungumza Elizabeth Mlacha.

Maonesho ya Wakulima ya Nanenane 2020, yalianza tarehe 1/8/2020 na yalitarajiwa kumalizika tarehe 8/8/2020 lakini baadae Serikali kupitia kwa Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga iliongeza siku mbili za maonesho hadi tarehe 10/8/2020, ili wananchi kote nchini wapate fursa ya kutembelea maonesho hayo.

Richard Mtuyu Mkazi wa Nzuguni Dodoma akiongea na mwandishi wetu kuhusu faida iliyopatikana kupitia maonesho ya Nanenane Kanda ya Kati mwaka huu 2020 yaliyofanyika Nzuguni jijini Dodoma.


Kitalu cha kilicho bora cha Mahindi kwenye maonesho ya Nanenane.


Elizabeth Mlacha mkazi wa Kikombo akielezea alivyojifunza namna ya kuandaa bustani za mbogamboga na kanuni za kilimo cha bustani wakati wa Maonesho ya Nanenane Jijini Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.