• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Ndege Airbus yatua Dodoma kwa mara ya kwanza

Imewekwa tarehe: October 31st, 2020

NDEGE kubwa aina ya Airbus A220-300 yenye uwezo wa kubeba abiria 132 na kutumia muda wa dakika 45 kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dar es Salaam, imetua kwa mara ya kwanza katika uwanja wa ndege wa Dodoma baada ya uwanja huo kufanyiwa marekebisho makubwa kwa kuongezwa njia ya kutua na kurukia ndege kufikia urefu wa kilometa 2.8.

Ndege hiyo 'Ngorongoro  Hapa Kazi' ilitua leo majira ya saa 10:43 jioni na kupokelewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt. Leonard Chamurilo.

Akielezea zaidi Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini (Tanroads), Mhandisi Patrick Mfugale amesema "Serikali iliamua kuongeza uwezo wa uwanja  huo  ili kuwe na ufanisi katika kuziendesha ndege zetu, kazi hii tulianza  Julai 2020 kwa gharama  ya Shilingi Bilioni 3.506"

Aidha, alisema kazi hiyo ilihusisha ujenzi wa eneo la maegesho ya ndege hiyo. Kulilipwa fidia ya shilingi bilioni 5.8 kwa watu ili kupisha ujenzi huo na kazi iliyobaki ni kuweka taa ili kuruhusu ndege hiyo kutua hata usiku.

Akishiriki katika mapokezi hayo ya kihistoria kwa Jiji la Dodoma, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge amemshukuru Mheshimiwa Rais kwa kufanikisha ununuzi wa ndege na kuboresha wigo wa usafiri wa anga hadi kufikia Dodoma. Amesema hii ni fursa kwa watu wa Dodoma na duniani kote kwa kuwa fursa za urahisi wa usafiri na uwekezaji zinazidi kuongezeka Jijini Dodoma.

'Hii ni katika kuanza utekelezaji  wa mpango wetu wa kibiashara, tuna kituo kikuu Dar es Salaam, na tuna vituo vya kuunganisha ikiwepo Dodoma, Zanzibar, Kilimanjaro, Mwanza na Mbeya. Hivyo ni vituo ambavyo tutaendelea kuongeza taratibu safari zetu za ndege kuunganisha na mikoa mingine na baadae na nchi za nje". Amesema Mkurugenzi Mkuu wa ATCL, Mhandisi Ladislaus Matindi.

Naye Mkurugenzi Mkuu Mamlaka Usafiri wa Anga Hamza Johari amesema kuwa uwanja wa Dodoma ulikuwa na uwezo wa kuruhusu kutua ndege yenye uwezo wa Q400 ambayo inabeba abiria 76, baada ya maelekezo ya Mheshimiwa Rais na kwa kuwa Dodoma sasa imeshakuwa Makao Makuu, kazi ilifanyika ya kuongeza urefu wa barabara na kutengeneza taratibu za anga ambazo zinaiwesha ndege kubwa kama hii kutua na kuruka hapa chini salama ni mifumo inayotumia satelaiti.

Akimalizia Mkurugenzi huyo amewashukuru wadau wote kuanzia TANROADS, Mamlaka ya Viwanja vya Ndege, Mamlaka ya viwanja vya usafiri wa anga pamoja na Wizara yetu na Mheshimiwa Rais kwa mwongozo wake uliowawezesha kufanya kazi hiyo kwa haraka na ndege kubwa inaweza kutua.

Mkurugenzi Mkuu wa ATCL, Mhandisi Ladislaus Matindi akitoa maelezo kuhusu ndege aina ya Airbus aliyotua Jijini Dodoma kwa mara ya kwanza.

Abiria waliokuwa kwenye ndege hiyo wakishuka huku wakishuhudiwa na viongozi na baadhi ya wakazi wa Jiji la Dodoma.

Ndege hiyo Airbus A220-300 ikimwagiwa maji na magari ya Zimamoto kama ishara ya kuikaribisha.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.