• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Neema yatangazwa kwa Machinga Dodoma

Imewekwa tarehe: September 7th, 2022

Na. Sifa Stanley, DODOMA

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru ametangaza neema ya kuhamishwa wafanya biashara ndogondogo kutoka maeneo ambayo siyo rasmi na kuwapanga katika Soko la Wazi la Machinga kwa amani na utulivu ili waendelee kutekeleza majukumu yao.

Neema hiyo ameitangaza leo katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, ambapo Mkurugenzi huyo aliongea na waandishi wa habari kuhusu kukamilika kwa Soko la Wazi la Machinga na kuwaeleza kuwa Machinga watahamishwa na kuingia sokoni  kwa njia ya amani na hakuna vurugu yoyote itakayotokea.

Mkurugenzi Mafuru alisema “kuanzia leo tarehe 07/09/2022 mpaka tarehe 23/09/2022 wafanyabiashara wote niliowataja wanatakiwa wawepo ndani ya soko lile. Tumeshakubaliana Dodoma toka mwanzo kuwa hatapigwa mtu kirungu wala  hatasukumwa mtu”.

Akizungumzia namna Jiji la Dodoma litakavyonufaika na ujenzi wa soko hilo, Mafuru alisema kuwa, kukamilika kwa Soko la wazi la Machinga kutasaidia jiji la Dodoma kuwa safi, na kutachangia mapato makubwa kwa Halmashauri.

“Huu mradi unakwenda kufanya mapinduzi kwa Jiji la Dodoma, cha kwanza tunachokwenda kukipata katika mradi huu, Jiji la Dodoma linakwenda kuwa safi katika kiwango hakijawahi kutokea tangu Dodoma kuumbwa. Tulichogundua na hata viongozi wa juu wamegundua hilo wafanyabiashara ndogondogo walifanya mji uonekane haupendezi pia soko hili litachangia mapato ya shilingi bilioni 1.2 ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma  kwa mwaka” alisema Mafuru.

Aidha, akieleza uwezo wa soko ni kubeba wafanyabiashara 5,000. Akiongelea bidhaa zinazopatikana sokoni hapo alizitaja kuwa ni vitabu na shajara, nguo na viatu, vifaa vya umeme. Nyingine alizitaja kuwa ni vifaa vya nyumbani pamoja na huduma ya saluni za kike na kiume.

Ujenzi wa Soko la wazi la Machinga umegharimu kiasi cha shilingi bilioni 9.53, na ulianza rasmi mwaka 2021 ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan aliyeagiza Machinga wote nchini wapangwe katika maeneo rasmi.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.