• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

NHC kujenga nyumba 1,000 za kuuza, kupangisha Dodoma

Imewekwa tarehe: October 23rd, 2019

SHIRIKA la Nyumba nchini (NHC) linakusudia kujenga nyumba 1,000 mkoani Dodoma za kuuza na kupangisha kwa lengo la kutumia fursa ya Serikali kuhamia mkoani hapo.

Akizungumza jana, Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Maulid Banyani mbele ya Kamati ya Hesabu za Serikali alisema hivi sasa wapo kwenye mazungumzo na watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu ili kujenga nyumba hizo jijini hapo. Alisema mazungumzo yakikamilika yatalifanya shirika hilo kujenga nyumba hizo kwa ajili ya kupangisha na kuuza kwa watumishi na watu mbalimbali waliopo makao makuu ya serikali.

Mkurugenzi Mkuu alitoa ufafanuzi huo kutoka kwa Mbunge wa Tanga Mjini, Mussa Mbaruku aliyetaka kujua NHC imejipanga vipi kulitumia soko la Dodoma kwa kujenga nyumba za kupangisha na kuuza. Banyani alisema kutokana na serikali kuhamia Dodoma, shirika hilo limejipanga kutumia fursa hiyo kwa kujenga nyumba nyingi za kuuza na kupangisha wafanyakazi wengi wa serikali waliohamia jijini hapo.

Ili nyumba hizo zipangishwe au kuuzwa kwa bei nafuu, Banyani alisema mazungumzo bado yanaendelea kufanyika na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango ili kupatikana kwa mkopo wa nyumba ili zijengwe kwa bei nafuu na zipangishwe kwa bei nafuu. Alisema mazungumzo hayo yanahusisha serikali kupitia Benki Kuu na Benki ya Dunia kupitia Benki ya Afrika yakikamilika na kufikia makubaliano ya kukopa fedha hizo kwa ajili ya ujenzi wa nyumba kutasaidia nyumba hizo kupangishwa kwa bei nafuu na kugusa watu wa kipato cha chini.

“Mkopo huo kwa ajili ya ujenzi utasaidia kupunguza bei ya nyumba hizo ambazo zinajengwa kwa lengo la kuwasaidia watu wa kipato cha chini,” alisema.

“Kwa kupitia mikopo ya nyumba utasaidia wateja wa nyumba hizo kununua kwa bei ya punguzo la asilimia 11 na hivyo kusaidia watu wa kipato cha chini kununua nyumba hizo,” alisema.

Lakini pia ili kuhakikisha NHC inatumia gharama ndogo za ujenzi nyumba hizo, inakusudia kupunguza gharama za kujenga majengo hayo kwa kutumia makandarasi wake wa shirika hilo.

Chanzo:Tovuti ya HabariLeo


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.