• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Ni haki kila mwanachi kuishi katika mazingira safi, salama - Kimaro

Imewekwa tarehe: September 22nd, 2020

Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kushirikiana na kampuni ya Green Waste Pro pamoja na taasisi za Elimu wameadhimisha siku ya usafi Duniani kwa kufanya Usafi katika eneo la Majengo Jijini hapa.

Akizungumza na Mwandishi wetu Mkuu wa Idara ya Mazingira na Udhibiti taka ngumu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Dickson Kimaro (pichani juu), amesema kuwa ni haki kwa kila mwananchi au mwanadamu kuishi katika mazingira safi na salama hivyo wameamua kufanya usafi kwa vitendo katika eneo hilo ili kutoa elimu kwa wananchi kutambua umuhimu wa kufanya usafi katika maeneo yanayowazunguka.

Kimaro amesema, kumekua na tabia isiyo nzuri kwa baadhi ya wananchi kuchafua mazingira na kukwepa kuyafanyia usafi jambo linalopelekea baadhi ya maeneo ya Jijini hapa kuwa machafu.

Alisema zipo sheria ndogo za Halmashauri ambazo zinamtaka mwananchi kutochafua mazingira kwa aina yoyote ile na kwa atakaekiuka sheria hizo na kukamatwa faini yake ni kuanzia shilingi elfu hamsini mpaka laki moja.

Nae Meneja wa kampuni ya Green Waste Pro Abdala Mbena amesema amefurahishwa na idadi kubwa ya watu waliojitokeza kufanya usafi kwani kitendo hicho kinaonesha ni jinsi gani wananchi wamepata elimu ya kutosha juu ya usafi wa mazingira.

Mbena ameongeza kuwa wameamua kushirikisha  Taasisi za Elimu ili kuwajengea mazoea wanafunzi ya kupenda kufanya usafi kuanzia wakiwa na umri mdogo jambo ambalo linatengeneza kizazi kitakachoweza kuleta matokeo makubwa zaidi kwenye sekta hiyo hapo baadae.

Kwa upande wake Mwanafunzi wa Shule ya Viwandani Witnes Peter amesema kuwa miongoni mwa athali kubwa zinazotokana na kuzungukwa na mazingira machafu ni pamoja na kupata magonjwa kama vile Kipindupindu na Malaria kwaiyo wamejitolea kuja kuungana na wadau wengine kufanya usafi ili kuilinda jamii isipatwe na magonjwa ya aina hiyo.

Witnes alimalizia kwa kuomba kila Shule iwe na klabu za mazingira kwani kwa kufanya hivyo sio tu mazingira yatakua safi, bali na jamii itapata elimu zaidi ya mazingira kupitia kwa wanafunzi.

Meneja wa Kampuni ya Green Waste Pro Abdallah Mbena akizungumza mara baada ya shughuli za usafi kukamilika.

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Viwandani wakishiriki kufanya usafi Siku ya Mazingira Duniani.

Mwanafunzi Witness Peter akijibu maswali ya waandishi wa habari kuhusu usafi wa mazingira.

Wananchi wakishiriki kufanya usafi kwenye eneo la 'Pombe River' kata ya Majengo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.