• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Nidhamu, uadilifu, mahusiano nguzo kuu mahala pa kazi - Maganga

Imewekwa tarehe: August 11th, 2020

Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wametakiwa kudumisha nidhamu, uadilifu na uhusiano mahali pa kazi ili kuleta ufanisi mzuri wa kazi kati yao na wanao waongoza.

Hayo yamesemwa leo na Mkuu mpya wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Mhe. Josephat Maganga alipofanya kikao cha kujitambulisha kwa Mkurugenzi na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri hiyo.

Maganga amesema kuwa uadilifu na nidhamu ni vitu vya msingi katika kazi kwani vinaleta ufanisi mkubwa kwa viongozi na wale wanaowaongoza huku akiwaasa kuepuka kusababisha mikwaruzo baina yao  kwani vitu hivyo vinaweza kudidimiza uchumi wa Halmashauri na kuleta matokeo mabaya hasa kwenye ukusanyaji wa Mapato.

“Tuepuke kujiona mimi ni mkubwa kuliko yule, hizi nafasi zetu ni za kupita tu, mtu anaweza akakusoea huko mtaani kwenye mambo yenu binafsi, hiyo isikufanye wewe kutompatia haki yake mahali mnapofanyia kazi.” Alisema Maganga.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Godwin Kunambi amemkaribisha Dodoma Mkuu huyo wa Wilaya na kumpongeza kwa uteuzi wake huku akimhakikishia ushirikiano kati ya Halmashauri na Ofisi yake kama ilivyokua kwa Mkuu wa Wilaya aliyepita.

“Mkuu wa Wilaya, mafanikio yote unayoyaona hapa Jijini yamesababishwa na hawa Wakuu wa Idara na Vitengo katika Halmashauri hii, tumekuwa tukishirikiana, tukifanya kazi mchana na usiku kuhakikisha Jiji letu linakua la mfano, kwa hiyo nikuhakikishie kuwa tutashirikiana ipasavyo na Ofisi yako ili kuleta maendeleo zaidi.” Alizungumza Kunambi.

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mhe. Josephat Maganga akisisitiza jambo kwa Timu ya Menejimenti ya Jiji la Dodoma alipofanya ziara ya kujitambulisha katika taasisi hiyo iliyo katika Wilaya yake.


Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini Mhe. Josephat Maganga (katikati) akipokea moja ya vitabu vyenye taarifa za utatuzi wa migogoro katika Jiji la Dodoma kutoka kwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi. Kushoto ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Dodoma Mjini Michael Maganga.


Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mhe. Josephat Maganga (aliyesimama) akiongea na timu ya menejimenti ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma (baadhi wanaonekana pichani) wakati alipotembelea ofisi za Jiji kujitambulisha.


Baadhi ya wajumbe wa Timu ya Menejimenti ya Halmashauri ya JIji la Dodoma wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini (hayupo pichani) alipokuwa akionea nao  leo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.