• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Nitawapa komptuta na printa shule 134 Jijini Dodoma - Mhe. Mavunde

Imewekwa tarehe: October 12th, 2021

MBUNGE wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde (wa pili kutoka kushoto pichani juu) ameonesha dhamira yake ya kuboresha sekta ya Elimu Jijini Dodoma kwa kuweka mpango mkakati wa kuziwezesha Computer na Printer Shule zote 134 za umma za Sekondari na msingi katika Jiji la Dodoma ili kurahisisha uratibu wa shughuli za ofisi na uchapaji mitihani.

Mavunde ameyasema hayo leo katika mahafali ya Kidato cha IV yaliyofanyika katika Shule ya Sekondari Chinangali,Dodoma ambapo jumla ya wanafunzi 239 walikuwa wanaagwa rasmi leo kabla ya kujiandaa na mitihani ya mwisho ya Taifa Novemba 2021.

“Dhamira yangu ni kuona tunafanya mapinduzi makubwa ya elimu kutumia teknolojia ya habari,ndio maana kipindi cha miaka minne iliyopita niligawa vishkwambi (Tablets) kwa shule za msingi 20 ambavyo vina thamani ya Tsh 1.7 bilioni ambavyo vimeleta mapinduzi makubwa sana kwenye ufundishaji.

Nataka kuwahakikishia kwamba nitagawa kompyuta na Printa kwa shule zote za Serikali 134 na tayari mpaka sasa nimeshazifikia shule 51 nitahakikisha nazimaliza zote ili watoto wetu wapate fursa ya kuweza kufanya mitihani yao ya wiki kwa urahisi.

Ninaamini kupitia maendeleo ya teknolojia na habari wanafunzi wengi wa Dodoma Jiji wataweza kufanya vizuri katika masomo yao ili kurudisha heshima ya Dodoma Jiji kitaaluma.” Alisema Mavunde.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti Diwani wa Kata ya Chamwino Mh.Jumanne Ngede na Mwenyekiti wa Bodi ya Shule Bw. Wenselaus Mkingule wameshukuru Mbunge Mavunde kwa ushirikiano mkubwa anaowapa katika uendelezaji wa Elimu katika shule hiyo na kumshukuru kwa nia yake thabiti ya kutengeneza uwanja wa mpira na kuweka magoli ya Chuma pamoja,kugawa jezi na kutunisha mfuko wa Shule kwa kuchangia Tsh 500,000.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.