• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

NSSF kufanya uwekezaji wa zaidi ya bilioni 148 Dodoma

Imewekwa tarehe: December 26th, 2024

Na. Hellen M. Minja,

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), unatarajia kuanzisha uwekezaji ndani ya Makao makuu ya Nchi (Mkoa wa Dodoma) kwa kujenga jengo  la ghorofa 16 ,jengo ambalo gharama yake inakadiriwa kuwa zaidi ya shilingi za Kitanzania  Bilioni 148 likijumuisha hoteli yenye hadhi ya nyota tano.

Hayo yameelezwa wakati wa hafla ya upandaji miti kwenye eneo lao la  uwekezaji lililopo Njedegwa Jijini Dodoma ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule alikua mgeni rasmi.

“Hoteli hii itafungua fursa mpya ya kufanyika mikutano ya Kimataifa hapa Dodoma hivyo kuongeza mnyororo wa thamani pia itachangia kukuza utalii na kuzalisha ajira zaidi pamoja na kupendezesha Jiji letu la Dodoma. Niwapongeze kwa kuunga mkono juhudi za utunzaji wa mazingira kwa kupanda miti leo hata kabla hamujaanza mradi”. Amesema Mhe. Senyamule.

Kadhalika, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Bw. Masha Mshomba, amesema suala la uwekezaji ni jukumu la kipekee na linatakiwa kufanyika kwa umakini mkubwa ili kuleta kipato cha kutosha kwa kuwa fedha hizo ni za wananchi.

Akielezea namna mradi utakavyotekelezwa, Meneja Usimamizi wa Mradi NSSF, Mhandisi Helmes Pantaleo amesema;

“Mradi unatarajiwa kuwa na jengo la ghorofa 16 na umegawanyika katika sehemu tatu, kuna eneo la ofisi, hoteli na mall, eneo hilo  lina ukubwa wa zaidi ya mita za mraba 20,000, na eneo zima la uwekezaji lina ukubwa wa hekta 2.1, hoteli itakua na vyumba 20 pamoja na migahawa, maduka na ofisi za watu wa hoteli”

Mradi huo unaotarajiwa kutumia miaka mitatu (2025 - 2028 ) hadi kukamilika kwake,utaanza  kutekelezwa mwezi Mei 2025, vibali vya ujenzi vimeshapatikana kutoka Benki Kuu ya Tanzania, Ofisi ya Waziri Mkuu, Msajili wa majengo na Wizara ya Fedha, hivvyo kufikia Aprili 2O25 maandalizi yote yatakuwa yamekamika.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.