• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Nyuki wa Tabora walamba Zabibu Sita

Imewekwa tarehe: January 19th, 2025

Na. Asteria Frank, DODOMA

Timu ya mpira wa miguu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ya Dodoma Jiji yainyuka goli 6-0 timu ya mpira wa miguu ya vijana wa chini ya umri wa miaka 20 ya Tabora United ndani uwanja wa Jamhuri Jiji la Dodoma katika mechi ya kwanza mzunguko wa pili wa ligi ya NBC Youth League 2024/2025.

Kocha wa timu ya vijana umri wa miaka 20 ya Dodoma Jiji FC, Chido Jeremia alisema hawakuwa na mchezo mzuri kipindi cha kwanza na kipindi cha pili walikuwa na nyakati nzuri kwa jinsi vijana walivyowaelekeza kwa hali ya kuona mapungufu ya wenzao na kuweza kupata magoli hayo.

Alisema kuwa timu inaendelea kuimarika na malengo waliyowawekea yanazidi kupungua maana kadri siku wanavyocheza mechi wanapata alama. “Vijana wametuheshimisha tumepata ushindi na sio tu matokeo mazuri ila matokeo yenye magoli mengi kama vile tulivyokuwa tunataka maana tulikuwa tunataka kutengeneza ‘margin’ nzuri zaidi ya wanaotufata lakini pia kutengeneza ‘goal difference’ ambayo ndio vijana wametu-offer. Na tunawashukuru mashabiki hawakuwa nyuma kwa kuja kuwasapoti vijana wao na wanaona wanavyocheza. Vijana hawa sio wa kwetu peke yetu na jukumu la kuwalea lisibaki kwa halmashauri peke yake au makocha wao ila libaki kwa kila mwana Dodoma aone wivu kuwa ni sehemu ya chagizo kuwa vijana hawa niliwaleo na huku ndipo tunapata wachezaji wazuri watakao kuja kutusaidia Dodoma” alisema Chido

Nae Nahodha wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 Dodoma Jiji FC, Bakari Mondwe alisema kuwa wanamshukuru Mungu wamemaliza mchezo wao salama na malengo yao katika mzunguko huu wa pili ni kuzidi kufanya vizuri ili waweze kuvuka hatua hiyo. “Tunawaomba mashabiki wazidi kuja kwa wingi na kusapoti timu yao ili tuzidi kufanya vizuri na tunawaahidi hatutawaangusha na kuwapa kitu muhimu ambacho wanakuja kukiona kila siku wanapokuja na tutazidi kufanya vizuri” alisema Mondwe.

Mzunguko wa pili ulianza tarehe 15 Januari, 2025 ambapo Dodoma Jiji FC wanaongoza ligi, msimamo wa kundi ‘A’ katika mzunguko wa kwanza wakifuatiwa na Azam FC kwa nafasi ya pili na Kagera Sugar nafasi ya tatu na nafasi ya nne kushikiliwa na Yanga.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.