• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Ofisi Mpya ya DC Dodoma kuboresha utoaji huduma

Imewekwa tarehe: March 14th, 2025

Na. Faraja Mbise, DODOMA MAKULU

Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma yamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kwa ajili ya kujenga Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Dodoma ambayo italeta tija ya kuwahudumia wananchi wote wa Mkoa wa Dodoma.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma kwa Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Afisa Tawala katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Merina Ijiko alisema kuwa utekelezaji wa mradi huo umekamilika na upo katika hatua ya kipindi cha uangalizi cha mwaka mmoja ambacho kilianza tarehe 10 Juni, 2024 na kuisha tarehe 9 Juni, 2025.

Akiongelea fedha za mradi huo, alisema kuwa jumla ya shilingi 1,242,969,735.30 zimelipwa kwa mkandarasi ikiwa ni asilimia 61.89 ya gharama za mradi hadi sasa. Mkandarasi anadai jumla ya shilingi 578,288,969.19 na mhandisi mshauri ameshalipwa jumla ya shilingi 68,380,000.00 ikiwa ni malipo ya marejeo ya usanifu na usimamizi na anadai jumla ya shilingi 36,365,000. “Ofisi ya Mkuu wa Wilaya inamshukuru Mheshimiwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Hassan Suluhu kwa kutoa fedha za kujenga Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma yenye hadhi. Hii itaongeza tija ya kuwahudumia wananchi wa Mkoa wa Dodoma” alisema Ijiko.



Utekelezaji wa ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma ulianza mwaka wa fedha 2022/2023. Mradi ulijumuisha ujenzi wa jengo kuu la ghorofa moja, kibanda cha mlinzi, uzio wa ukuta wa tofali, mifumo ya CCTV, ‘plumbing works’, mifumo ya uzimaji moto, viyoyozi, ‘electrical works’ na ‘landscaping’ utekelezaji huo unatekelezwa na Mkandarasi Azhar Construction Co. LTD na kusimamiwa na Mhandisi Mshauri Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kupitia BICO.

  •  
  • Habari hii imehaririwa na Dennis Gondwe
  • MWISHO

 




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.