• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Ondoeni Vikwazo Kuboresha Sekta ya afyamsingi – Dkt. Molell

Imewekwa tarehe: March 29th, 2024

Na. OR-TAMISEMI, Dodoma

NAIBU WAZIRI  wa Afya Dkt. Godwin Moleli amezitaka Mamlaka za Serikali ngazi ya Wizara, Mikoa, Halmashauri na Taasisi zinazohusika na Sekta ya Afya kutokuwa kikwazo ili kuchochea uwekezaji kwenye Sekta ya Afya nchini.

Dkt. Moleli ametoa kauli hiyo wakati akifunga mkutano wa kimataifa wa Afya ya Msingi uliofanyika kwa siku tatu kuanzia tarehe 27 hadi 27 Machi, 2024 Jijini Dodoma ambao umewaleta pamoja Wadau wa ndani na nje ili kujadili na kubadilishana mawazo kuhusu mafanikio, changamoto na uwekezaji katika afyamsingi kwa lengo la kuboresha huduma za afya kuelekea afya kwa wote Tanzania.

“Sekta Binafsi imesaidia kwa kiwango kikubwa kuipunguzia Serikali mzigo hasa upande wa ajira kwani vijana wengi wameajiriwa kupitia sekta binafsi, hali ambayo sio rahisi kuiachia mzigo Serikali pekee, taste tuliyonayo sio ajira siyo Serikali peke yake” alisema Dkt. Mollel

Dkt. Moleli pia amezitaka Ofisi ya Rais TAMISEMI na Wizara ya Afya kufuatilia na kujua ni vijiji vingapi nchini ambavyo havina zahanati ili kuendelea kuboresha afyamsingi nchini lakini pia amewataka wataalam wa wizara hizo mbili kuangalia sheria zinazohusu uanzishwaji wa zahanati ili kuondoa vikwazo kwa wawekezaji kama idadi ya waajiriwa ili kituo kitoe huduma.

Naye Dkt. Wilson Mahera Charles, Naibu Katibu Mkuu (AFYA) Ofisi ya Rais TAMISEMI alisema baadhi ya mapendekezo makubwa yaliyotokana na mkutano huo ni kuhakikisha upatikanaji wa fedha za kutosha kwa afyamsingi, kuongeza bajeti za afya na kukuza mifumo ya Bima za Afya.

Akitoa salamu za Wadau, Agnes Cosia kwa niaba ya Sekta ya Afya binafsi (Christian Social Services Commission) alisema vituo binafsi vimechangia kupunguza vifo vya mama na mtoto, kupunguza kasi ya maambukizo ya vifo vinavyotokana na magonjwa ya mlipuko na kuchangia juhudi za pamoja za Serikali na Wadau wengine kuhakikisha upatikanaji wa afya bora kwa watu.

Dkt. Rashid Mfaume Mkurugenzi wa Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais TAMISEMI alisema kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2023 asilimia 78 ya wagonjwa wa nje (OPD) wametoka eneo la afya ya msingi

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.