• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

DC Shekimweri apongeza Jiji la Dodoma

Imewekwa tarehe: September 18th, 2022

Na. Sifa Stanley, DODOMA

MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kununua mitambo miwili ambayo ni "Buldoza na Greda" kwa ajili ya kufungua na kuchonga barabara katika maeneo ambayo yalikuwa sio rahisi kufikika.

Pongezi hizo alizitoa wakati wa zoezi la ufunguzi na uzinduzi mdogo wa mitambo iliyonunuliwa na Jiji la Dodoma leo katika eneo la Low Coast Kata ya Kizota.

Mkuu huyo alisema kuwa mitambo hiyo itakwenda kuongeza thamani ya maeneo na kusaidia maeneo yaliyokuwa hayafikiki kwa urahisi hapo awali kuweza kufikika.

“Mitambo hii inakwenda kuongeza thamani ya maeneo watu walio wengi huingia uzito wa kuendeleza maeneo yao kwasababu hayafikiki, wakipeleka nondo, wakipeleka mchanga malori yanakuwa yanazama kwahiyo barabara zinakwenda kurahisisha mambo hayo na kuongeza thamani ya maeneo” alisema Shekimweri.

Naye, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru alieleza namna jiji la Dodoma litakavyonufaika kutokana na ununuzi wa mitambo hiyo, ambayo itatumika kufungua barabara zilizokuwa hazipitiki lakini pia jiji litakodisha mitambo hiyo na kujiingizia mapato.

“Mitambo hii ni chanzo kikubwa cha mapato, sisi kama jiji la Dodoma tumekuwa tukihangaika kupata vyanzo vipya vya mapato, nahii ni sehemu ya chanzo cha mapato, tukishahakikisha tumewachongea wananchi barabara, mitambo hii haitabaki hapa bure, tutaikodisha kwa wakandandarasi wanaofanya ujenzi wa barabara na itaingiza milioni 40 kwa mwaka” alisema Mafuru.

Aidha, Naibu Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Jamal Ngalya alieleza namna Halmashauri ya Jiji ilivyojipanga kuhakikisha kuwa mitambo hiyo inatumika kwa matumizi yaliyokusudiwa na aliahidi mitambo hiyo kutunzwa vizuri.

“...kwa niaba ya madiwani wa Halmashuri ya Jiji la Dodoma, tuahidi usimamizi mzuri wa mitambo, tukuahidi mitambo tutaisimamia vizuri na kila siku tutabuni nini cha kufanya juu ya mitambo yetu” alisema Ngalya.

Mkuu wa Wilaya amezindua mitambo yenye gharama ya shilingi bilioni 1.5 ambapo fedha hizo ni mapato ya ndani ya jiji la Dodoma, mitambo hiyo itatumika kuchonga  na kufungua barabara katika maeneo ambayo yalikuwa hayafikiki kwa urahisi hapo awali.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.