• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Pongezi Mkurugenzi Jiji kwa kuchapa kazi - DC

Imewekwa tarehe: July 5th, 2022

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri (wa katikati pichani juu) amempongeza Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru kwa kutoa shilingi 12,000,000 kutatua changamoto ya usafirishaji wa vifaa wakati wa mvua kuvipeleka kwenye mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Hombolo Makulu.

Pongezi hizo alizitoa wakati akimkaribisha Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma wakati wa ziara ya Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Dodoma kutembelea na kukagua shule hiyo.

Shekimweri alisema kuwa “na mimi nichukue nafasi hii kwa dhati kabisa nimpongeze hadharani Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru. Mmepokea hapa taarifa, mmepokea changamoto lakini hazikusemwa vizuri huyu, mkurugenzi ameingia mfukoni kwake ametoa shilingi 12,000,000 kusaidia changamoto ya usafirishaji vifaa wakati ule wa mvua. Mafuru mimi nakupongeza sana. Sisi tunatamani Jiji la Dodoma liwe la mfano kwenye kutekeleza miradi, tunataka kuwa ‘center of excellency’ kwenye utekelezaji wa miradi alisema Shekimweri.

Mkuu huyo wa wilaya aliipongeza kamati ya ujenzi na walimu kwa kusimamia vizuri ujenzi wa shule hiyo. Alisema kuwa ushirikiano huo ndiyo umefanikisha kupiga hatua kubwa katika ujenzi huo.

Mradi huu utaajiri watu wengi. “Ajira ya mara moja inayoonekana ni ya walimu. Lakini tuna maabara, lazima tutaajiri wataalam wa maabara, tutakuwa na mafundi wateknolojia wa maabara. Lazima tuajiri mkutubi na wasaidizi, mpishi, boharia na mhasibu wa shule na ulinzi. Hivyo, ajira unaizungumzia katika mapana hayo. Kuna watakaoajiriwa ndani ya Hombolo Makulu na nje ya eneo hili” alisema Shekimweri.

Ujenzi wa shule ya sekondari katika kata ya hombolo makulu ulianza tarehe 25 Januari, 2022 kwa fedha kutoka mradi wa kuboresha elimu ya sekondari (SEQUIP) kwa gharama ya shilingi 600,000,000.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.