• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Prof. Shemdoe aridhishwa na utekelezaji wa miradi Chalinze

Imewekwa tarehe: November 18th, 2022

KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Prof. Riziki Shemdoe ameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze , Mkoani Pwani

Pro.Shemdoe amekagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri hiyo

Amekagua miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa ajili ya wanafunzi watakaoanza masomo ya kidato cha kwanza Januari 2023, ujenzi wa madarasa katika shule ya Sekondari Chahua,na shule ya Sekondari Lugoba.

Prof.  Shemdoe ameipongeza Halmashauri hiyo kwa usimamizi wenye weledi wa kuhakikisha madarasa hayo yanajengwa  kwa viwango stahiki.

“Nikupongeze Mkurugenzi na timu yako kwa usimamizi makini, madiwani na uongozi wa Shule kwa maana ya wakuu Shule wote wanaoendelea na utekelezaji wa miradi hii nawaomba muongeze bidii mara ifikapo tarehe 15 Desemba, madarasa yawe yamekamilika.” amesisitiza Prof Shemdoe

Vilevile, Prof. Shemdoe amekagua  Ujenzi wa soko la Bwilingu na kukagua   ujenzi wa vibanda vya wajasiriamali vinavyoendelea kujengwa kuzunguka soko  jumla ya vibanda hivyo ni 150 na vinajengwa kutokana fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri ili kuwezesha  wananchi kiuchumi.

Pia Prof Shemdoe amekagua hospitali ya Wilaya ya Msoga na kukagua Ujenzi wa jengo la  Matibabu ya Dharura(EMD) kinachoendelea kujengwa katika hospitali hiyo na kumshukuru Rais Mstaafu wa awamu Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuwezesha upatikanaji wa mradi huo unaotekelezwa kwa faida ya watanzania wanapopatwa na ajali na kuwa na uhakika wa matibabu wakati wowote.

Aidha, amekagua  vifaa tiba mbalimbal vilivyonunuliwa kutokana na fedha za Mapato ya ndani ya Halmashauri na fedha kutoka Serikali kuu ambavyo ni  vifaa vya Mionzi (X-ray)na vipimo vya moyo vinavyopima umeme wa moyo kwa binadamu.

Amewapongeza viongozi wa Halmashauri kwa hatua kubwa za maendeleo zinazofanywa hasa katika suala zima la usimamizi wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri hiyo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.