• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Prof. Mwamfupe akemea wanaofanyia biashara kwenye maeneo ya shule

Imewekwa tarehe: July 17th, 2019

KAMATI ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma imewataka wafanyabiashara waliovamia eneo la shule ya sekondari Viwandani jijini hapa kuondoka eneo hilo ili kuwawezesha wanafunzi kusoma vizuri.

Kauli hiyo imetolewa na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Prof. Davis Mwamfupe kwa niaba ya ya wajumbe alipoongoza kamati ya fedha na utawala kutembelea shule hiyo jana mchana.

Prof. Mwamfupe alisema kuwa shule ni eneo kwa ajili ya wanafunzi kujifunza si eneo la wafanyabiashara. “Hatutaki kuona biashara yoyote eneo la shule. Tunataka watoto wetu wajikite kusoma sio muingiliano wa masomo na biashara jambo linalochangia watoto kuzurura nje na kudhoofisha ufanisi kitaaluma. Tusitumie vibaya dhamira njema ya Mhe Rais kuwatengenezea mazingira rafiki wafanyabiashara kufanya kazi zao. Mhe Rais hajasema wafanyabiashara wafanye biashara katika maeneo ya shule” alisema Prof. Mwamfupe. Shule ziachwe kuwa sehemu salama kwa ajili ya wanafunzi kusoma, aliongeza.

Naye Mchumi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Happiness Matonya alisema kuwa kwa mwaka wa fedha 2018/2019 Halmashauri hiyo ilipeleka shilingi milioni 40 kutoka kwenye mapato yake ya ndani kwa ajili ya ujenzi wa chumba kimoja cha maabara ya shule ya sekondari Viwandani.

Akichangia zaidi mjumbe wa kamati hiyo, Mhe. Paskazia Mayala alipongeza ushirikiano ambao kamati hiyo inaupata kutoka kwa wataalam wa Halmashauri jambo lililofanya ukaguzi huo kuwa rahisi. Aidha, alimpongeza mstahiki Meya kwa kuwaongoza vizuri madiwani jambo ambalo linawezesha Jiji la Dodoma kupiga hatua katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Viwandani wakifanya majaribio ya kisayansi kwenye maabala ya shule iliyojengwa kwa fedha za makusanyo ya ndani ya Jiji la Dodoma.

Mwonekano wa jengo jipya la maabara la shule ya sekondari Viwandani.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.