• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Prof. Shemdoe: Simamieni mapato, fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwenye Halmashauri

Imewekwa tarehe: October 22nd, 2021

KATIBU MKUU Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Prof. Riziki Shemdoe (pichani juu) amewaagiza Makatibu Tawala wa Mikoa yote nchini kuhakikisha wanazisimamia Halmashauri kwenye ukusanyaji wa mapato ya ndani na usimamizi wa fedha zinazotolewa na Serikali katika kutekeleza Miradi ya Maendeleo katika Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini.

Akifungua kikao kazi cha Makatibu Tawala wa Mikoa kuhusu utekelezaji wa shughuli za Serikali katika Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kipindi cha robo ya kwanza ya Mwaka wa Fedha 2021/22, Prof. Shemdoe amesema Serikali imepeleka fedha nyingi katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, hivyo ni wajibu wa Makatibu Tawala Mikoa kuhakikisha fedha hizo zinatekeleza miradi iliyopangwa kwa wakati.

Amewaagiza Maktibu hao kuhakikisha makusanyo ya mapato ya ndani ya Halmashauri yanakusanywa kwa ufanisi na kutekeleza miradi ya maendeleo kama ilivyopangwa.

Aidha, amewasisitiza wahakikishe Halmashauri zinakamilisha majibu ya hoja za ukaguzi zilizotolewa na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali pamoja na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC).

Vilevile, amewaagiza Makatibu Tawala wa Mikoa kuhakikisha Kamati za Fedha za UVIKO -19 ziundwe kwa kuzingatia maelekezo yaliyotolewa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa.

Ameendelea kufafanua kuwa likizo za Mwaka za Wakurugenzi na Makatibu Tawala zitatolewa kuanzia mwezi Januari, 2022 baada ya ukamilishaji wa ujenzi wa madarasa, hivyo kiongozi atakaekamilisha kabla ya hapo ataruhusiwa kwenda likizo.

“Hata mimi sitaenda likizo mpaka ukamilishaji wa ujenzi wa madarasa umekamilika hivyo hakikisheni mnakamilisha ujenzi huo kwa wakati.” amesisitiza Prof. Shemdoe.

Chanzo: ortamisemi (instragram)

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.