• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Rai yatolewa, madiwani kufikisha elimu ya lishe kwa wananchi

Imewekwa tarehe: June 24th, 2019

MADIWANI wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wameshauriwa kuwa mabalozi wa masuala ya lishe kwa wananchi wanaowaongoza ili kukabiliana na changamoto ya lishe.

Rai hiyo imetolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Balthazar Ngowi alipokuwa akitoa salamu wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo madiwani wa Halmashauri ya jiji hilo yanayofanyika katika ukumbi wa Halmashauri.

Ngowi alisema kuwa Halmashauri imeandaa mafunzo hayo kwa madiwani ili kwa nafasi yao wafikishe elimu hiyo kwa wananchi. “Waheshimiwa madiwani, masuala ya lishe mnayafahamu, ila mafunzo haya yanalenga kukumbushana changamoto za lishe katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma” alisema Ngowi.  

Afisa Lishe wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Semeni Juma alisema kuwa suala la lishe linatakiwa kuwa agenda ya kudumu katika vikao kwenye kata. “Mafunzo haya yatumike kuhamasisha katika Kata zetu. Maeneo mengi yanakabiliwa na tatizo la utapiamlo sugu” alisema Juma.

Akifafanua kuhusu malengo ya mafunzo hayo, aliyataja kuwa ni kuongeza uelewa na stadi za masuala ya lishe pamoja na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa afua muhimu za lishe. Malengo mengine, afisa lishe huyo aliyataja kuwa ni kuongeza uelewa wa makundi maalum na kuhakikisha yanapewa kipaumbele katika afua za lishe. Pia, kuboresha hali ya lishe na afya ya jamii.

Afisa Lishe wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Semeni Juma akitoa mada kuhusu lishe kwenye semina ya madiwani wa Jiji la Dodoma leo.

Waheshimiwa madiwani wakimsikiza Afisa Lishe wa Jiji Semeni Juma (hayupo pichani) wakati wa semina inayohusu lishe.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Baltazar Ngowi (aliyesimama) akisisitiza jambo katika mafunzo kwa madiwani kuhusiana na lishe. Kulia ni Naibu Meya wa Jiji la Dodoma, Jumanne Ngede na kushoto ni Kaimu Mganga Mkuu wa Jiji la Dodoma, Situ Muhunzi


Matangazo

  • TANGAZO LA MABADILIKO YA TAREHE YA USAHILI October 03, 2025
  • TANGAZO LA MAJINA YA WASIMAMIZI JIMBO LA MTUMBA October 03, 2025
  • MAJINA YA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA- DODOMA MJINI October 03, 2025
  • TANGAZO LA MAJINA YA MAKARANI WAOGOZAJI WAPIGA KURA October 03, 2025
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Rc Senyamule awasihi wawekezaji sekta binafsi kuwekeza Dodoma

    October 03, 2025
  • CCTV kamera mwarobaini wa wavunjifu wa sheria jiji la Dodoma

    October 02, 2025
  • Wadau wa afya wapongezwa kwa juhudi zakudhibiti vifo vya wajawazito

    October 01, 2025
  • UONGOZI WA KLABU YA MICHEZO OFISI YA MKUU WA MKOA WA DODOMA WAKUTANA NA RAS KAZUNGU

    September 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.