• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Rais Magufuli, Mbunge Mavunde na DC Ndejembi Watimiza Ahadi zao Jiji la Dodoma

Imewekwa tarehe: May 2nd, 2018

Kwa Msaada wa Mtandao

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli leo 2 Mei, 2018 amewasilisha mchango wake wa Tzs 10,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ya Shule ya Msingi Veyula iliopo Jijini Dodoma ikiwa ni ahadi aliyoitoa kwa wananchi wakati aliposimama kuwasalimia akitokea katika hafla ya ufunguzi wa barabara ya Dodoma hadi Babati.

Mchango huo umewasilishwa na Mhe. Deogratious  Njedembi ambaye pia amechangia Tzs 1,000,000 kutimiza ahadi yake na kuwashukuru wananchi kwa kujitokeza kwa wingi kuanza kuchimba msingi wa ujenzi wa madarasa na kutumia fursa hiyo kuwataka watendaji wote kusimamia zoezi la ujenzi kwa ufanisi na kumwagiza Lt Col Matina Mkuu wa kikosi cha JKT Makutupora kusimamia ukamilishwaji wa madarasa hayo ndani ya wiki tatu.

Aidha, Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mhe. Anthony Mavunde na Mkuu wa Wilaya Ndejembi waliungana na wananchi katika zoezi la uchimbaji msingi na baadaye Mhe. Mavunde alikabidhi kiasi cha Tzs 5,000,000, mifuko ya saruji 100 na kuahidi kuongeza Tzs 5,000,000 ya ziada mapema wiki ijayo ikiwa ni mchango kutoka kwa marafiki wa Mbunge huyo, na pia alitumia fursa hiyo kumshukuru Mhe. Rais kwa kusaidia ujenzi wa madarasa hayo.

Naye Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Ndugu Godwin Kunambi amewahakikishia wananchi kwamba Halmashauri ya Jiji la Dodoma italipia vifaa na gharama zote za kupaua madarasa hayo ikiwa ni sehemu ya mchango wa Jiji.

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya Deogratius Ndejembi akimkabidhi Mhe. Mbunge Anthony 

Mavunde kiasi cha shilingi 10,000,000 (Milioni Kumi) zilizoahidiwa na Mhe. Rais Dkt. 

John Magufuli kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ya Shule ya Msingi Veyula.


Mhe. Mbunge wa Dodoma Mjini Anthony Mavunde (Kushoto) akimkabidhi Mhe. Mkuu 

wa Wilaya Deogratius Ndejembi mifuko 100 ya saruji. Katikati ni Mkurugenzi wa Jiji 

ndugu Godwin Kunambi na kulia ni Mhe. Diwani wa kata ya Makutupora Elia Lenjila.


Mhe. Mkuu wa Wilaya Deogratius Ndejembi akishiriki pamoja na wananchi kwenye 

zoezi la uchimbaji msingi kwa ajili ya ujenzi wa madarasa.


Mhe. Mbunge Anthony Mavunde akishirikiana na wananchi wa Jimbo lake la Dodoma 

Mjini kata ya Makutupora kuchimba msingi kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ya Shule 

ya Msingi Veyula.


Wananchi pamoja na viongozi wa Wilaya ya Dodoma Mjini wakishiriki kwenye zoezi 

la uchimbaji msingi kwa ajili ya ujenzi wa madarasa kuunga mkono juhudi za Mhe. Rais 

Magufuli kuchangia katika shughuli za maendeleo ikiwemo ujenzi wa madarasa.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.