• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Rais Ndayishimiye amsifu Rais Samia kuwaunganisha Watanzania na Warundi

Imewekwa tarehe: October 22nd, 2021

Na. Dennis Gondwe, NALA-DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Burundi, Meja Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaunganisha watanzania na warundi katika kujiletea maendeleo jijini Dodoma.

Pongezi hizo alizitoa alipokuwa akiongea na mamia ya wananchi wa Tanzania na Burundi waliojitokeza baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa kiwanda cha mbolea cha Intracom eneo la Nala, jijini Dodoma.

Meja Jenerali mstaafu Ndayishimiye alisema “nampongeza Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayofanya hapa Tanzania. Rais huyu anaunganisha watanzania na warundi vizuri katika maendeleo. Anaendesha nchi vizuri na utawala bora na nchi inakwenda vizuri”.

Rais huyo wa Jamhuri ya Burundi aliishukuru Tanzania kwa kuwapokea wakimbizi kutoka Burundi. “Sasa tunaanza kuona mavuno ya huo umoja wa mababu zetu. Huwezi pumzika ukiwa tajiri kama jirani yako ni masikini, lazima umbebe mgongoni ili muende pamoja, na Tanzania imetufanyia hivyo, naona Tanzania na Burundi tunaenda pamoja” alisema Rais Meja Jenerali mstaafu Ndayishimiye.

Rais huyo aliipongeza benki ya CRDB kwa kuwekeza nchini Burundi. “Niwapongeze benki ya CRDB kwa kuja kuwekeza nchini Burundi. Tunaona CRDB inakuwa mlingoti wa fedha kutoka Tanzania kuja Burundi na kutoka Burundi kuja Tanzania, hongeza sana benki ya CRDB” alisema Meja Jenerali mstaafu Ndayishimiye.

Aidha, aliwashukuru wakazi wa Jiji la Dodoma kwa mapokezi makubwa waliyompatia. “Nawashukuru sana watu wa hapa. Tangu nimefika Dodoma mmetupokea kwa upendo sana, sasa tunajisikia kama tupo nyumbani” alisema.

Kiwanda cha mbolea cha Intracom kitakapokamilika kinasadikika kuwa kikubwa na cha aina yake katika ukanda wa Afrika Mashariki na kati kikitoa ajira takribani 8,000.

Rais wa Jamhuri ya Burundi, Meja Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye alipoweka jiwe la msingi la ijenzi wa kiwanda cha mbolea cha Itracom Fertilizer Limited Jijini Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.