• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Rais Samia aboresha huduma ya Maji Matumbulu

Imewekwa tarehe: March 25th, 2025

Na. Emanuel Charles, MATUMBULU

 DIWANI wa Kata ya Matumbulu, Emmanuel Chibago ameipongeza serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuboresha miundombinu ya sekta ya afya, elimu, ujenzi wa ofisi ya kata pamoja na mradi wa maji ambao mpaka sasa serikali imefanikiwa kujenga visima 12 vinavyotoa huduma ya maji kwa wananchi wa kata hiyo.

 Akiongelea mafanikio ya serikali katika kipindi cha miaka minne kwa waandishi wa habari waliotembelea miradi ya maendeleo iliyotekelezwa kuanzia mwaka 2021 hadi sasa katika Kata ya Matumbulu, Diwani Chibago alisema kuwa anaishukuru serikali kwa kupeleka miradi ya maendeleo katani hapo. Alisema kuwa serikali imechimba visima 12 vya maji ukilinganisha na awali kilikuwepo kisima kimoja tu kikihudumia kata nzima. “Nipende kuipongeza serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwasababu mpaka sasa katika Kata ya Matumbulu wananchi hawahangaiki na maji tena tofauti na hapo mwanzo palikuwa na kisima kimoja cha maji ambacho kilikuwa ni tegemeo kwa wananchi wote wa Kata ya Matumbulu” alisema Chibago.

 Nae Coletha Kapinga, Mtaalamu kutoka RUWASA na Mhasibu wa mradi wa maji Kata ya Matumbulu alimpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kupeleka mradi mkubwa wa maji ambao unahudumia mitaa mitatu ya Kawawa, Nyerere na Mwongozo. “Mradi huu ni mkubwa, licha ya ukubwa wake unahudumia idadi ya watu 4,120 ambao wananufaika na maji haya. Hizi zote ni jitihada za Rais wetu kutuletea mradi huu uliogharimu shilingi 360,000,000. Tunamshukuru sana, baada ya kupata mradi huu wananchi wanapata maji safi na salama” alisema Kapinga

 Kwa upande mwingine Amosi Chipanyanga, ambae ni mkazi wa Mtaa wa Mpunguzi ‘A’, Kata ya Matumbulu alimshukuru Rais kwa kuwapelekea mradi wa maji ambapo wakati wa nyuma walikuwa wanahangaika kwa uhaba wa maji. “Tunashukuru kuletewa mradi huu na Rais, Samia Suluhu Hassan kwasababu tulikuwa tunapata shida sana wakati wa nyuma, lakini kwasasa tumepata manufaa makubwa sana kutokana na mradi huu watu wanapata huduma kwa wakati muafaka” alimalizia Chipanyanga




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.