• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Rais Samia awapa kongole Wizara ya Maji

Imewekwa tarehe: October 17th, 2022

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan amezindua Skimu ya Maji ya Kakonko-Kiziguzigu inayotekelezwa na Serikali kupitia Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini [RUWASA] kwa kushirikiana na Taasisi ya Enabel kutoka nchini Ubelgiji. Skimu hiyo inatekelezwa kwa gharama ya zaidi ya shilingi Bilioni 4 na inatarajiwa kunufaisha kata Nne za Kakonko Mjini, Kiziguzigu, Kasuga na Kanyonza zenye jumla ya vijiji 14.

Akizungumza na watumishi wa Wizara ya Maji mara baada ya uzinduzi huo Rais suluhu  aliwapongeza watumishi hao kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maji. Amesema mabadiliko chanya yanayoonekana kupitia wizara hiyo yanatoa matumaini kuwa serikali itafikia malengo yaliyokusudiwa katika sekta ya maji.

"Zamani huko nilikuwa na ugomvi na watu wa maji. Kwa sasa watu wa maji ni marafiki zangu kweli kweli. Wizara imebadilika. Taasisi zilizoko chini ya wizara zimebadilika. Kazi inafanywa kwelikweli Naomba muendelee hivyohivyo. Amesema Rais Samia.

Awali akimkaribisha Mhe. Rais Kuzindua mradi huo, Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) amesema Mradi wa Kakonko-Kiziguzigu utakapokamilika katika vijiji vyote 14 utahudumia wakazi wapatao 65,010. Nia ni kufikia wakazi wapatao 132,425 ifikapo mwaka 2042 ambao ndio kipindi cha usanifu wa mradi.

Awamu ya kwanza ya mradi imekamilika katika vijiji vya Kakonko, Itumbiko, Mbizi, Kiziguzigu, Kiyobera, Ruyenzi, Kabingo na Kasuga ambapo kwa sasa wananchi wanapata huduma ya maji.

Aidha mradi huo umeongeza hali upatikanaji wa maji kutoka asilimia 51 hadi zaidi ya asilimia 70 huku mgao wa maji ukipungua kutoka saa 5 hadi saa 12 kwa siku. Amesema mipango inaendelea ikiwemo kupanua mradi huo ilii huduma ya maji katika wilaya hiyo ifikie asilimia mia moja.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.