• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Rais Samia azindua barabara ya Morocco - Mwenge

Imewekwa tarehe: December 5th, 2021

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suhulu Hassan, leo tarehe 05 Desemba, 2021 amefungua rasmi Barabara ya New Bagamoyo sehemu ya Morocco hadi Mwenge yenye urefu wa Kilomita 4.3 kwa ufadhili wa Serikali ya Japani kupitia Shirika lake la Maendeleo la JICA.

Sherehe za ufunguzi wa barabara hizo zilizofanyika Kijitonyama ni sehemu wa Wiki ya Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru ambapo Mhe. Rais Samia anakagua, kuweka mawe ya msingi na kufungua baadhi ya miradi mbalimbali ya maendeleo katika jiji la Dar es Salaam.

Mhe. Rais Samia amesema ufunguzi wa barabara hiyo ni hududi za Serikali katika kuboresha na kujenga miundombinu ya barabara katika Jiji la Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya kupnguza kero ya msongamano wa magarai na ajali za barabarani katika Jiji hilo.

Aidha, Mhe. Rais Samia amewataka wananchi kuzingatia sheria ili kupata manufaa yaliyokusudiwa katika kujenga barabara na miundombinu kwa kuepuka kufanya vitendo vitakavyopelekea uharibifu wa miundombinu hiyo.

Pia, Mhe. Rais ameitaka Wizara ya Ujenzina Uchukuzi pamoja na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuhakikisha ujenzi na ukarabati wa barabara na madarajaunafanyika kwa viwango vilivyokubaliwa kimkataba ili zidumukwa muda uliokusudiwa.

Kuhusu Jiji la Dar es Salaam, Mhe. Rais Samia amesemakuwa sura ya Jiji imebadilika kwa kiasi kikubwandani ya miaka mitano iliyopita hasa katika miundombinu ya barabara kupitia Mradi wa Uendelezaji wa Jiji la Dar es Salaam (DMDP) kuwezesha mitaa mingi kuwa na barabara za lami huku akitole mfano Magomeni na Kinondoni.

Mhe. Rais Samia amesema Serikali inaendeleana kuboresha miundombinu mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam na kwa sasa inaangalia uwezekano wa kuboresha eneo la Jangwani ambalo limekuwa kero kwa wananchi hususani kipindi cha mvua.

Vilevile, Mhe. Rais Samia amewakumbusha wananchi kuendelea kupata chanjo dhidi ya UVIKO 19 kutokana na tishio la wimbi la nne la ugonjwa huo ambalo limezikumba nchi mbalimbali duniani.

Kuhusu fedha za mkopo wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Mhe. Rais Samia amesema matumizi ya fedha hizo hayahitaji ufuatiliaji makini na kupitia Wizara ya Fedha na Mipango Serikali imeanzisha kitengo cha tathmini na ufatiliaji ili kuhakikisha zinafanya kazi iliyokusudiwa.

Wakati huo huo, Mhe. Rais Samia amewatembelea mjane wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyererena mjane wa Hayati Rais Benjamin Mkapa Mama Anna Mkapa, kuwasalimia na kuwajulia hali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.