• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Makata kocha mkuu DFC, Mkurugenzi Kunambi amtambulisha rasmi

Imewekwa tarehe: July 9th, 2019

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma leo Julai 9, 2019 imemtambulisha kocha mkuu wa timu ya soka ya ‘Dodoma Football Club’ (DFC) inayomilikiwa na Halmashauri hiyo Mbwana Makata ambapo anaanza mara moja kazi ya kuifundisha timu hiyo.

Makata ametambulishwa leo mbele ya waandishi wa habari katika ukumbi wa Jiji na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Godwin Kunambi, ambaye alisema lengo la namba la timu ya daraja la kwanza ni kupanda daraja na kucheza ligi kuu Tanzania Bara msimu wa mwaka 2020/2021.

Kunambi alisema Halmashauri ya Jiji imeichukua timu hiyo ambayo sasa itakuwa ya wananchi kwani Halmashauri maana yake ni wananchi, huku akitoa wito kwa wakazi wote wa Dodoma kuiunga mkono ili kufikia malengo. 

“Timu nyingi zinashindwa kufikia malengo kwa viongozi kuingilia kazi za makocha, kufundisha mpira ni taaluma hivyo sisi viongozi tutamkabidhi kocha kazi na kumuwezesha kila kitu ikiwemo fungu la usajili ili apate wachezaji wazuri” alisema Kunambi wakati wa Hafla hiyo ambayo pia ilihudhuriwa na Meya wa Jiji hilo Mstahiki Prof. Davis Mwamfupe.

Mkurugenzi huyo alisema siri ya mafanikio katika soka ni kuwa na wachezaji wenye viwango vizuri na kufanya maandalizi kwa wakati na na kuahidi kutimiza matakwa yote ya timu kwani Halmashauri hiyo ilishatenga bajeti ya kuendesha timu hiyo katika mwaka huu mpya wa fedha.

Kwa upande wake, kocha Makata aliomba ushirikiano wa karibu kutoka kwa uongozi wa Halmashauri ya Jiji na wadau wote wa soka Jijini hapa ili kwa pamoja waweze kuivusha timu hiyo na kucheza ligi kuu mwakani.

Katika kazi hiyo mpya, Mkata atashirikiana na kocha msaidizi Renatus Shija ambaye amekuwa naye pamoja kwenye benchi la ufundi tangu walipoipandisha daraja hadi ligi kuu timu ya Allience ya Mwanza na hivi karibuni timu ya Polisi Tanzania.  

         

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.