• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

RC aagiza eneo la viwanda, makazi yawekwe miundombinu haraka

Imewekwa tarehe: December 2nd, 2020

MKUU wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge ameagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Dodoma, Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DUWASA), na Wakala ya Barabara Mjini na Vijijini (TARURA) kuhakikisha wanafikisha huduma za umeme, maji na barabara katika miradi mipya ya viwanja inayopimwa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma ili kwenda sambasamba na mahitaji na kasi ya ujenzi unafanywa na wananchi na kuvutia zaidi wawekezaji hususan kwenye maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya ujenzi wa viwanja.

Ametoa maagizo hayo leo Desemba Mosi, 2020 alipofanya ziara katika maeneo mbalimbali yaliyopimwa viwanja na Jiji la Dodoma ikiwemo eneo la viwanda na eneo la taasisi za elimu ya juu yaliyopo Kata ya Nala, eneo la makazi Mahungu, Kinywambwa, Itega, Mkalama, na Iyumbu ambapo lengo la ziara hiyo ilikuwa ni kukagua hali ya uendelezwaji wa maeneo hayo pamoja upatikanaji wa miundombinu muhimu hususan barabara, umeme, na maji.

Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru alimueleza Mkuu wa Mkoa huyo kuwa, kuchelewa kwa miundombinu hiyo ni katika baadhi ya miradi imekuwa akirudisha nyuma kasi ya uendelezaji na kwamba Jiji la Dodoma limekuwa likitoa vibali vya ujenzi kwa kasi kutokana na mahitaji makubwa ya wananchi kujenga makazi na maeneo ya biashara.

Wakuu wa taasisi za DUWASA, TARURA, na TANESCO wameelezea mipango yao mbalimbali ya haraka na ya muda mrefu katika kutoa huduma hizo muhimu katika Jiji la Dodoma ili wananchi na wawekezaji waendeleze maeneo yao kulingana na mahitaji yao.

Taasisi hizo pamoja na Halamshauri ya Jiji zimetakiwa kukutana kila mwezi ili kujadiliana kwenye maeneo yanayohitaji huduma za pamoja hususan kwenye miradi mipya ya viwanja ambavyo vinahitaji kuendelezwa kwa haraka kwa ajili ya makazi na uwekezaji mkubwa na mdogo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.