• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

RC Mahenge awapa matumaini Wafanya biashara Dodoma

Imewekwa tarehe: August 10th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge ameunda Kamati maalum ya kufuatilia na kutatua kero zinazowakabili Wafanya Biashara wa Soko Kuu jipya la Job Ndugai na Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma na kuitaka iwasilishe kwake taarifa ya changamoto hizo ndani ya siku saba.

Mahenge ameyasema hayo kwenye mkutano na wafanya Biashara hao, uliofanyika kwenye viunga vya Soko hilo leo Nzuguni nje kidogo ya Jiji la Dodoma.

Baadhi ya changamoto zilizowasilishwa na wadau hao ni pamoja na uchache wa vizimba vya kufanyia Biashara pamoja kudhibiti mtu mmoja kumiliki vizimba vingi katika eneo la Soko na Kituo cha mabasi.

Akijibu hoja hizo Dkt. Mahenge alisema ameunda kamati itakayojumuisha, watumishi wa Halmashauri ya Jiji, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, viongozi wa Soko pamoja na Kituo cha Mabasi kufuatilia changamoto hizo ili haki iweze kutendeka na kuwaahidi kuzipatia ufumbuzi ndani ya siku saba.

“Mkurugenzi na watu wake wamefanya kazi nzuri sana tuwapongeze kwa kweli, haya mengine ni changamoto ambazo tutazitafutia ufumbuzi ili tuweze kuzitatua, nimeunda timu nzuri naamini itafanya kazi nzuri na haki itatendeka” alisema Dkt. Mahenge.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Godwin Kunambi amewataka wafanya biashara hao na wakazi wa Dodoma kwa ujumla kuendelea kuunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa mambo makubwa anayoyafanya Dodoma ikiwa ni pamoja na ujenzi wa Soko kuu hilo na Kituo Kikubwa cha Mabasi.

“Mhe. Rais ameyafanya makubwa hapa Dodoma na anaendelea kuyafanya mengine, anajenga uwanja mkubwa wa ndege na miradi mikubwa zaidi inakuja, niwaombe tu kuwa makini na kuitunza miradi hiyo ili Jiji letu liendelee kuwa miongoni mwa majiji makubwa barani Afrika” amesema Kunambi.

Mhe. Binilith Mahenge, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma (aliyeinua mkono) akizungumza na wafanya biashara wa Soko Kuu la Job Ndugai alipotembelea soko hilo ili kuongea nao juu ya changamoto wanazokutana nazo sokoni hapo. Kushoto kwa Mhe. Mahenge ni Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi akisikiliza kwa makini.


Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi akifafanua jambo mbele ya Mkuu wa Mkoa Mhe. Binilith Mahenge na wafanyabiashara wa Soko Kuu la Job Ndugai leo.


Mmoja wa Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Job Ndugai akielezea changamoto wanazokutana nazo sokoni hapo, ambapo katika mkutano huo na Mkuu wa Mkoa alifika ili kuwasikiliza na kuona namna bora na kuzitatua kwa maslahi ya wafanyabiashara hao na Serilkali.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma atoa pongezi kwa Madiwani

    May 25, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Wananchi Kata ya Madukani washukuru kuboreshwa huduma za Afya, Zahanati ya Chikande

    May 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.