• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

RC Mtaka aitaka NACTE kutathimini maonyesho elimu

Imewekwa tarehe: June 1st, 2021

MKUU wa Mkoa wa Dodoma Antony Mtaka amelitaka Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kuandaa mkutano wa tathimini ya maonyesho ya vyuo vya ufundi ili kuona tija ya maonyesho hayo.

Kauli hiyo aliitoa jana mara baada ya kutembelea mabanda ya Taasisi mbalimbali katika maonyesho ya pili ya elimu ya mafunzo na ufundi yaliyoandaliwa na NACTE kwa kushirikiana na Taasisi ya sekta binafsi (TPSF) yanayoendelea  katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.

Mtaka amesema kuwa watafanya kikao cha kujadili namna pia ya kuwaendeleza wabunifu wa maonyesho hayo ili kazi zao ziwe na tija kiuchumi zaidi.

“Naomba NACTE baada ya maonyesho haya kuhitimishwa,muandae mkutano wa tathimini tukae pamoja na tujadili mambo mablimbali ya maonyesho haya zikiwemo changamoto ili tujue namna ya kuzitatua ili tukapoandaa maonyesho ya mwakani yawe na tija zaidi.”amesema Mtaka

Pia ameitaka NACTE kuhakikishe mwakani mkoa unakuwa ni sehemu ya maandalizi ya mashindano haya,ili kusaidia kutangaza maonyesho hayo kikamilifu na kutoa hamasa kwa wananchi kuja kutembelea mabanda na kununua bidhaa zinazouzwa. 

Mtaka amesema  kuwa lengo la kufanya hivyo ni pamoja na kutaka kuboresha maonyesho hayo ya vyuo yaliyoandaliwa na NACTE ili yawe na msisimko zaidi kwa wananchi.

“Naamini kwamba maonyesho  yajayo yakiboreshwa yatabadili taswira na kuwa sehemu ya kuchevusha biashara ya mkoa ikiwemo kukuza teknolojia katika sekta mbalimbali kama Kilimo,ufugaji na vingine.” amesisitiza.

Pia Mhe.Mtaka amesema kuwa  wao kama Mkoa wako tayari kushirikiana na waandaaji wa maonyesho ikiwemo kuwa na sehemu ambayo italea na kukuza wabunifu ambao watakuwa wamebuni teknolojia mbalimbali kupitia kwenye maonyesho husika.

Aidha Mhe.Mtaka  amewaomba waandishi wa habari kuhakikisha wanashirikiana na NACTE au taasisi nyingine zote kuhakikisha wanayatangaza maonyesho hayo kwa siku zilizobaki ili jamii ijue na kujitokeza kutembelea katika viwanja hivyo.

Hata hivyo amezishauri Benki na Taasisi za fedha kutenga fedha kwa ajili ya kuwadhamini wabunifu nchini ili kuendeleza vipaji vyao.

Kwa upande wake Katibu Mtendaji wa NACTE Dkt.Adolf Rutayuga amesema kuwa wao kama NACTE watayafanyia kazi ushauri na maoni yote aliyoyatoa ili kuleta tija zaidi katika maonyesho hayo mwakani.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.