• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

RC Mtaka akutana na mstaafu Pinda, wakubaliana kuinua Zabibu

Imewekwa tarehe: June 4th, 2021

Na Nemes Michael, DODOMA

MKUU wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka amefanya mkutano wa wazi na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda, nyumbani kwake Kata ya Zuzu jijini hapa, ambapo mkutano huo ulihudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo, mazingira na taasisi za kifedha, ukiwa na lengo la kuimarisha kilimo, viwanda, elimu, na uhifadhi wa mazingira.

Mkuu wa Mkoa Mtaka alisema kuwa, sekta ya mazingira na kilimo ni kipaumbele katika mikakati ya mkoa wa Dodoma ambapo anatazamia kuimarisha sekta hizo kwa mazao yanayopatikana jijini hapa, vilevile kuhakikisha upandaji miti katika kuimarisha mazingira na kupambana na athari zake.

“Katika utekelezaji tutahakikisha tunapata wakati sahihi kuzungumza na wadau wa kilimo na wafanyabiashara wa zao la zabibu katika kujadili namna bora ya kuinua zao zabibu  pamoja na mazao mengine, naamini kupitia hatua hiyo tutapata mawazo sahihi katika kufikia malengo na kuonyesha utofauti” alisema Mhe. Mtaka.

Kwa upande wake, Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda alisema kuwa zabibu ni zao mama kwa Mkoa wa Dodoma na linahitaji kipaumbele na mikakati maalum katika kuhakikisha faida inaonekana na kupatikana kwa wakulima na wafanyabiashara wa zao hilo.

“Tunahitaji kutambua kuwa zabibu ni zao la kudumu la biashara kwenye Mkoa huu, lakini lazima ushawishi uwepo katika utoaji kipaumbele kwenye zao hili na kuonyesha utofauti na mazao mengine na kuipa heshima Dodoma kupitia zao hili” alisema Mhe. Pinda.

Naye, Mkugenzi Mtendaji benki ya Maendeleo ya Kilimo Japhet Justine alisema kuwa utayari katika utendaji ni kitu cha kuzingatia, na kwamba anaahidi ushirikiano chanya kutoka katika benki hiyo kama mdau mkubwa wa sekta ya kilimo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.