• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

RC Mtaka awakumbusha Wakuu wa Wilaya uongozi wa hekima

Imewekwa tarehe: June 22nd, 2021

Na Nemes Michael, DODOMA.

MKUU wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka amewataka Wakuu wa Wilaya walio teuliwa kutumia nafasi zao kwa hekima na siyo mabavu.

Aliyasema hayo katika viwanja vya ofisi ya Mkoa kwenye halfa fupi ya uapisho wa Wakuu wa Wilaya wapya leo tarehe 22 Juni 2021.

Mtaka aliongeza kuwa nafasi waliyonayo ni kumwakilisha Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungamo wa Tanzania na siyo Mkuu wa Mkoa, hivyo wajikite kwenye kuhakikisha wanatatua changamoto za wananchi katika maeneo yao.

“Mimi nina wasaidizi wangu lakini siyo ninyi, kila mmoja abebe thamani kwamba amepewa heshima ya kumsaidia Rais kwenye wilaya aliyoteuliwa, nawasisitiza kuwa uongozi ni utumishi na utumishi ni hekima ukitawala kinguvu utaharibu ila hekima hujenga” aliongeza Mtaka.

Kwa upande wake, Mkuu Wilaya ya Kondoa Khamis Mkanachi alisema kuwa nafasi aliyopewa kuhudumu katika Wilaya hiyo ni deni ambalo atalilipa kwa utumishi uliyotukuka na kuhakikisha anatoa mchango chanya kwa maendeleo ya Mkoa wa Dodoma na nchi kwa ujumla.

“Mkuu wa Mkoa nimekufuatilia katika vipaumbele ulivyoahidi tangu siku ya kwanza unakabidhiwa ofisi ambavyo ni Kilimo cha kisasa, Elimu, Afya, Maji, Uwekezaji, Sekta binafsi na Haki kwa watumishi wa umma na wananchi kwa ujumla naambatana na wewe katika kusimamia vipaumbele hivyo” aliongeza Mkanachi.

Naye, Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Remedius Emmanuel amemshukuru Rais Samia kwa kumteua na kumuamini kuwa Mkuu wa Wilaya hiyo na kusema kuwa anaahidi ushirikiano kwa mkuu wa mkoa na wananchi katika maendeleo na utatuzi wa changamoto.

Mkuu huyo wa wilaya ameongeza kuwa kazi yake kubwa ni kuhakikisha anatimiza maono, matarajio, na mategemeo ya Rais Samia kuyatekeleza katika wilaya ya Kongwa.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.