• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Rc Senyamule aipa kongole DUWASA utekelezaji wa agizo la serikali kwenye michezo

Imewekwa tarehe: May 3rd, 2024

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule ameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) kwa kutekeleza agizo la Serikali la kuhakikisha Taasisi zinaanzisha, kusimamia na kutekeleza dhana ya michezo kwa Viongozi na watumishi.

Senyamule ametoa pongezi hizo wakati akizindua Bonanza la Siku ya Michezo ya Mamlaka hiyo, lenye lengo la kuhamasisha wafanyakazi kushiriki michezo na kufanya mazoezi ili kuepukana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza.

“Naipongeza DUWASA kwa kutekeleza Agizo la Serikali la kuhakikisha Taasisi zinaanzisha, kusimamia na kutekeleza dhana ya michezo kwa Viongozi na watumishi wake na hata ikitokea wengine wakaanza mfano utabaki kuwa wa kwenu DUWASA kwa sababu mmekuwa wa kwanza kabisa kuanzisha michezo hii na itawasaidia kujenga afya na utimamu wa mwili.

Na kuongeza kuwa “kupitia Bonanza hili la DUWASA natoa maagizo kwa Taasisi zote za umma mkoa wa Dodoma kutekeleza maagizo ya serikali kwa watumishi wake kushiriki mazoezi na michezo kwa ajili ya kulinda afya na kujiandaa kushiriki Mashindano ya SHIMUTA ya mwaka huu,” amesema Senyamula

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma Prof. Davis Mwamfupe ambaye amemwakilisha Mwenyekiti wa Bodi ya DUWASA amewaasa watumishi kubadili mienendo ya maisha inayohatarisha afya zao hali inayoweza kudhoofisha ufanisi wa kazi.

Awali Mkurugenzi Mtendaji wa DUWASA, Mhandisi Aron Joseph amezungumzia , malengo ya kufanyika kwa Bonanza la Siku ya Michezo, amesema ni utekelezaji wa maagizo ya serikali pamoja na DUWASA kuhakikisha watumishi wanakuwa na afya njema wakati wa kutekeleza majukumu yao na itawasaidia kujiepusha na magonjwa yasiyoambukiza kama vile kisukari na shinikizo la damu.

Katika Bonanza hilo watumishi wa DUWASA wameshiriki michezo mbalimbali, ikiwemo mbio fupi, mpira wa Pete na miguu, kufukuza kuku, riadha na mbio za magunia ambapo washindi wamezawadiwa vikombe vya ushindi na fedha taslimu.

Uzinduzi wa Bonanza la Siku ya Michezo DUWASA limefungua mwendelezo kwa watumishi wote kushiriki mazoezi kila Ijumaa ya kila wiki baada ya muda wa kazi.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.