• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

RC Senyamule akemea uharibifu vyanzo vya maji

Imewekwa tarehe: September 29th, 2023

MKUU wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amewataka wananchi wa kata wa Chihanga kutoa ushirikiano kwa Serikali popote wanapohitajika kwani hakuna Serikali yenye dhamira mbaya kwa watu wake ili katika kutatua changamoto za uvamizi katika chanzo cha maji cha Bonde la Mzakwe.

Senyamule ameyasema hayo juzi Septemba 27, 2023 wakati wa ziara yake ya kikazi ya kuzungumza na wananchi wa Kata ya Chihanga iliyopo katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Amesema lengo la ziara yake katika Kata hiyo ni kuendelea kutekeleza maelekezo ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kuongea na wananchi, kusikiliza kero na kuzipatia ufumbuzi.

"Ndugu zangu naombeni mtoe ushirikiano hakuna Serikali yenye dhamira mbaya na wananchi wake na mnamfahamu Rais wenu hataki kusikia mtu ananyanyaswa wala kupigwa, anataka wananchi wake wawe na amani na wasikilizwe kero zao ili kuendelea kudumisha umoja na mshikamano wa Tanzania."amehimiza Senyamule

Pia, Mkuu huyo wa Mkoa amekemea suala la utoro wa watoto na kuwaagiza wazazi ambao watoto wao wamefaulu na kubaki nyumbani bila sababu za msingizi amewahakikishia hatua za kisheria zitachukulia kwani ni kinyume na taratibu za nchi kwakuwa kila mtoto anatakiwa kupatiwa haki yake ya kupata elimu na tayari kuna miundombinu wezeshi hivyo wanatiwa kuzitendea haki.

Naye, Afisa Mazingira Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu Bw. Rajabu Mwinyialipo amesema elimu inaendelea kutolewa kwa wananchi wanaoishi jirani na ndani ya Bonde hilo kuhusu namna ya kuendelea kukilinda chanzo hicho cha maji ya Bonde la Mzakwe kwani ndio tegemeo ndani ya Jiji la Dodoma kwa kukizingatia kwa sasa ni Makao Makuu ya nchi.

Vile vile, Bw. Mwinyialipo ametaja baadhi ya shughuli za kibinadamu ambazo hazitakiwi kufanyika ndani ya Bonde hilo kuwa ni pamoja na Kilimo, uchomaji wa mkaa, uchimbaji wa visima na ufugaji kwani zitasababisha uharibifu wa Bonde na kupelekea changamoto ya maji ndani ya jiji la Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.