• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Rc Senyamule awatoa hofu wananchi kuhusu mpaka wa Bonde la Mzakwe

Imewekwa tarehe: February 15th, 2024

WANANCHI wa Mtaa wa Vyeyula Kata ya Mkutupola, Jiji la Dodoma wametakiwa kutokuwa na hofu kuhusu mpaka wa Bonde la Mzakwe wakati Serikali ikiendelea kufanya takwimu na uchunguzi wa kina kuhusu suala hilo.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule alisema hayo wakati akizungumza na wananchi wa Mtaa Vyeyula na kusema kuwa, zipo sababu mbalimbali zilizopelekea eneo hilo kutokuwa na utatuzi. Mojawapo ya sababu ni kutofahamu idadi halisi ya wananchi wanaoishi katika eneo hilo, kutofahamu mipaka halisi iliyopitiwa na kiasi cha maji katika Bonde hilo.

"Sababu zinazopekekea kutofanya maamuzi sahihi ni kwasababu kwanza haijulikani kama kweli maji hayo bado yapo, idadi ya watu waliopitiwa na Bonde hilo na sababu nyingine nyingi hivyo, niwatoe hofu wananchi wa Kata ya Vyeyula kwasababu tunatuma timu ya wataalam kuja kuchunguza kwa undani suala hilo” alisema Senyamule.

Aliongeza kwa kusema kuwa kuanzia tarehe 14 mpaka 21 februari, 2024 kutakua na wataalam watakaofanya kazi ya kukagua na kuchukua takwimu za usahihi kuhusu maeneo hayo yaliyopitiwa na Bonde la Mzakwe.

"Kuanzia kesho timu ya wataalam kutoka ofisi ya Takwimu watakuja kuchunguza suala hilo ili kupata majibu sahihi. Hivyo, niwaombe mtoe ushirikiano wa kutosha ili tupate ufumbuzi wa suala hili lakini pia muendelee kuwa na amani na utulivu wakati Serikali ikiendelea kufanya kazi yake na msiwe na wasiwasi" aliongezea.

Kwa upande wake mtaalam kutoka ofisi ya Takwimu Afisa Mfumo ya Kijiografia, Jerrve Gasto alisema taarifa mbalimbali zinahitajika katika takwimu hizo ili kujua ni aina gani ya watu wanaoishi katika eneo hilo thamani ya majengo na shughuli za kiuchumi wanazojihusisha nazo.

"Tutaongea na wakuu wa kaya ili kupata taarifa zao kamili juu ya mazingira wanayoishi, thamani ya majengo na shughuli za kiuchumi wanazojihusisha nazo. Niwaombe wananchi mtoe ushirikiano ili tumalize kazi hii mapema zaidi" alisema Gasto.

Kwa upande wake, Mrisho Shabani mkazi wa mtaa wa Vyeyula aliiomba serikali ifanye hima kumaliza jambo hilo kwani imekua ni tatizo la muda mrefu. "Tunaomba serikali ifanye hima kumaliza jambo hilo kwani imekua ni tatizo la muda na mrefu sana. Ni kero kwetu sote pia tunaomba wataalam hao watoe elimu sahihi ili kuwe na wepeii zaidi kwa kutekeleza jambo hili kwa haraka zaidi" alisema Shabani.




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.