• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Rc Senyamule azindua maktaba shule ya sekondari Mnadani

Imewekwa tarehe: January 25th, 2024

Na. Arafa Waziri, MNADANI

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule azindua Maktaba mpya katika Shule ya Sekondari Mnadani iliyopo Kata ya Nkuhungu jijini Dodoma.

Maabara hiyo imekarabatiwa kwa gharama ya Shilingi Milioni 20 kwa msaada wa Taasisi ya Genesis kwa kushirikiana na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA

Akizungumza baada ya uzinduzi huo Senyamule aliishukuru Taasisi ya Genesis kwa Mchango mkubwa wanaoendelea kuutoa kwenye sekta ya elimu nchini.

‘’Niwashukuru sana na kuwapongeza Taasisi ya Genesis kwa kazi kubwa mnayoifanya kwa kujali na kusaidia serikali katika jitihada za kuhakikisha wanafunzi wanasoma vizuri kwa kurekebisha Maktaba shuleni. Maktaba hii itaongeza chachu ya usomaji kwa wanafunzi hivyo, kiwango cha taaluma kitaongezeka ‘’ alisema Senyamule

Aidha, Senyamule pia aliwaasa wanafunzi hao kutumia vizuri Maktaba hiyo kwa kusoma kwa bidii na kuongeza Maarifa ili waweze kuongeza kiwango cha taaluma shuleni hapo. ‘’Tukitumia vizuri Maktaba hii tutakuwa na ujuzi na maarifa. Lengo la Genesis kuboresha maabara hii kuwatengenezea mazingira mazuri ya kujisomea pia kuhakikisha ufaulu unaongezeka hivyo, tunategemea mtaitumia vizuri maktaba hii katika kuleta matokeo chanya kwenye elimu” aliwaasa.

Aidha Senyamule alipongeza walimu kwa kazi nzuri wanazoendelea kuzifanya na alitoa wito kwa Walimu shuleni hapo kusimamia vizuri Matumizi mazuri ya Mktaba hiyo kwa wanafunzi. ‘’Mkiwahamasisha wanafunzi matumizi ya Maktaba maana yake kazi pia itakuwa rahisi kwenu walimu hivyo, ni wajibu wenu kama walimu kuwafundisha matumizi mazuri ya Maktaba ili kazi nzuri ya Genesis iweze kuzaa matunda’’ Alisema Senyamule.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Prof Denis Mwamfupe alisema kuwa msaada wa Genesis ukawe mwanzo mzuri katika shule ya Mnadani na ukalete mapinduzi ya taaluma shuleni hapo. “Tunategemea kuona mabadiliko katika shule hii kitaaluma kupitia maktaba hii. Nawashukuru sana Genesis kwakuunga mkono juhudi za serikali katika kuhakikisha inaboresha miundombinu ya kujifunzia, niwaombe wanafunzi mkafate maelekezo ya walimu wenu na hakikisheni mnatumia maktaba hii kupata msaada katika masomo yenu ili mkawe wanafunzi bora’’ alisema Mwamfupe.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.