• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

RC Senyamule azipongeza Club za Jogging Dodoma

Imewekwa tarehe: December 17th, 2024

Na. John Masanja

VIKUNDI vya 'Jogging Clubs' Mkoa wa Dodoma vimepongezwa kwa kuendelea kuwa na mshikamano na kuwa vinara wa kuhamasisha watu kufanya mazoezi kwa kuboresha afya zao na kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza, pamoja na kuelimisha jamii kupitia kampeni mbalimbali.

Pongezi hizo zilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule baada ya kumalizika kwa mazoezi na mbio fupi zilizofanyika kwa kuratibiwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na “Friends of Mavunde” na “Dodoma City Legends Family”.

 “Katika makundi tuliyonayo kwa mkoa wetu hivi vilabu vya Jogging wamekuwa kinara wa kuimarisha mshikamano wao wenyewe na wafuasi sisi tunaoungana nao kufanya mazoezi, ni makundi ambayo hayana uvivu wa kufuatilia jambo lao wakiamua nawapongeza sana.

 " Kupitia mchango wao wa kuhamasisha unatupa sisi fursa ya kufikisha ujumbee mbalimbali. Kwa jamii, jambo kubwa nimefurahi leo kwa sababu mazoezi haya ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais wetu ya kila jumamosi ya pili ya mwezi iwe ni siku ya mazoezi kwaajili ya kutunza afya zetu na kupunguza magonjwa yasiyoambukiza. Leo ni Jumamosi ya pili ya mwezi Desemba kwaiyo, sisi tumetimiza maelekezo ya Rais wetu, hongereni sana", alisisitiza Senyamule.

Naye Kaimu Katibu Tawala Mkoa, Gwamaka Mlagila alisema “michezo ni afya na kutoa damu ni upendo na hakuna michezo bila upendo. Kwahiyo, niwahamasishe mjitokeze kwa wingi kuchangia damu ili ziwasaidie wagonjwa wanaohitaji damu”.

Vikundi vya "Dodoma City Legends Family na kikundi Cha Friends of Mavunde’' wametumia siku hii kufanya uzinduzi rasmi wa vikundi vyao na watashiriki mambo mbalimbali ya kurudisha furaha kwa jamii kwa kuwatembelea watoto yatima na kuchangia damu zitakazookoa maisha ya wengine. “Vikundi hivyo, vinafanya matendo hayo ya huruma kupitia kaulimbiu "Rejesha Tabasamu Kwao".

Akiwasikisha salamu za Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Sakina Mbugi ambaye ni Katibu Tawala Wilaya ya Dodoma aliwapongeza waandaaji wa tukio hilo na kuwataka wananchi waendelee kudumisha mazoezi ya mara kwa mara kwa ustawi wa afya za kula mmoja.

Zoezi la Jogging limeanzia katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma hadi katika viwanja vya Chinangali Park jijini Dodoma likikamilisha idadi ya kilometa 5 Kwa wakiambiaji na washiriki.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.