• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

'Route' ya mitaa ya kuaga mwili wa mwendazake JPM

Imewekwa tarehe: March 22nd, 2021

SERIKALI imejipanga kuhakikisha wananchi wote wanafanikiwa kushiriki zoezi la kumuaga aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Mafuguli katika hali ya utulivu.

Kauli hiyo imetolewa leo na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge nje ya uwanja wa Bunge la Tanzania.

Dkt. Mahenge amesema kuwa katika kurahisisha zoezi la kuuaga mwili ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli utapita katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Dodoma ili wananchi wengi waweze kushiriki katika tukio la kumuaga kiongozi wao.

Mkuu huyo wa Mkoa alizitaja barabara za mitaa utakapopita mwili la Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kuwa ni kuanzia uwanja wa Jamhuri, “round about ya Bahi, uelekeo wa barabara ya Iringa, eneo la Mirembe, barabara ipitayo baa ya Kito kuelekea ‘Central’ Polisi, Jamatini, barabara ya kwenda Bunge, Mzunguko wa Shabiby, EMMAUS mataa ya kwenda kwa Waziri Mkuu, AfricaN Dreams, kutokea Wajenzi, barabara ya Arusha, kuelekea Airport.

Aidha, Mkuu huyo wa Mkoa aliwaomba wakazi wa Dodoma kutokuwa na taharuki. “Tunaomba watu wasiwe na taharuki. Kila mtu atapata fursa ya kumuaga mpendwa wake. Tunawashukuru watu wote waliojitokeza jana barabarani kuelekea Ikulu ya Chamwino kumuaga Hayati Dkt. John Pombe Magufuli” amesema Dkt. Mahenge.

Awali katika uwanja wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri Mkuu, kassim Majaliwa alisema kuwa katika kuhakikisha wananchi wote wanapata fursa ya kumuaga Hayati Dkt. John pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri jijini hapa, mwili utazungushwa katika gari uwanjani hapo mara kadhaa ili wananchi wote wapate fursa ya kuaga mwili wa mpendwa wao.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.