• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

RUWASA Dodoma kufikisha maji vijijini kwa 85% ifikapo 2025

Imewekwa tarehe: May 31st, 2024

WAKALA wa Maji na Usafiri wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Dodoma umedhamiria kufikisha maji Vijijini kwa asilimia 85 kama inavyosema ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Hayo yamebainishwa leo Mei 31, 2024 kwenye kikao cha Watumishi wake wote wa Mkoa kilichofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.

Kikao hicho kilichokwenda sambamba na mafunzo kwa Watumishi juu ya namna ya kujiandaa kustaafu Mapema, kimehudhuriwa na Mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ambaye amewasihi kutimiza azma hiyo.

"Takwimu zinaonesha, kabla ya kuanzishwa RUWASA, maji yalifika Vijijini Mkoa wa Dodoma kwa asilimia 57.4 lakini tangu kuanzishwa kwake, umepanda hadi kufikia 66.3%. Niwapongeze sana. Ilani ya Chama Cha Mapinduzi inataka kufikia 2025, muwe mumefikia 85%. Kutokana na mikakati muliyojiwekea, nina imani mutaweza kufikia lengo". Amesema Mhe. Senyamule

Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Kaspar K. Mmuya, ambaye alikuwepo kwenye kikao hicho, amesema kuwa Mkoa wa Dodoma ni miongoni mwa mikoa inayokua kwa kasi hivyo ifikapo June 2025, maji yapatikane kwa zaidi ya asilimia 85. Aidha, amewataka kushughulikia changamoto za upatikanaji maji na kutojihusisha na rushwa.

Akizungumzia mafanikio ya Taasisi yake, Meneja wa RUWASA Mkoa wa Dodoma Injinia Ally Mbaraka, amesema mpaka Sasa vijiji 416 vya Mkoa wa Dodoma vimefikiwa na huduma ya maji ambapo ni zaidi ya 50%. Serikali imetoa shilingi Bilioni 6 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya Maji na kwa mwaka mpya wa fedha (2024/25) wanatarajia kupokea shilingi Bilioni 19.

RUWASA ilianza kutekeleza majukumu yake kama Taasisi mnamo Tarehe Mosi July, 2019 kwa lengo la kuboresha upatikanaji wa huduma za maji maeneo ya Vijijini. Mpaka Sasa imefanikiwa kuongeza upatikanaji wa huduma hiyo kupitia kauli mbiu ya "RUWASA, Maji bombani" na mpaka sasa Mkoa wa Dodoma unatekeleza miradi 75 ya maji kwenye Halmashauri zote za Dodoma itakayowezesha kufikia lengo la 85% ifikapo 2025.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.